Nimepata mpunga wa Million 6 hivyo nataka nikatumie hata robo yake kupunguza hasira za kutekwa kwa kijana mwenzetu.
Wale wazee wa viwanja karibuni sana
Deadbody,
JamiiForums.
Mzuka,
Yani furaha yangu humu nikimchokoza mtu kwa kureply comment yake akajibu kwa jazba yani nafurahi hadi narukaruka yani na infilict pain flan hivi na kuwawini kisaikolojia hasa kwa hawa...
Ushawahi kugegeda huku mbele yako au pembeni yako kuna dressing table?
Hii hasa ni kwa wanaume kwani wanawake wengi wanapogegedana hufumba macho.
Kwa ambaye amewahi atakubaliana namimi...
Habari za mihangaiko wakuu
Kwanza kabisa niwape pole wanawake wa dar kwasababu kila uchwao hali si hali kunako 6×6.
Nimeamua nitumie haka ka muda kadogo niliko nako kuwapa pole sana kina dada...
Ule msemo ulokuwa umezoeleka kwamba laki so pesa, naona hakuna maana yake tena, ukitaka kujua laki ni pesa jua kwamba kwenye laki kuna 10,000 Mara kumi, je kwa sasa unayo hata 10,000 moja?
Wanao...
Kwa upande wangu huanza na MMU kisha chit-chat baada ya hapo hurudi love connect na kuelekea Jukwaa la siasa nikishamaliza hilo naingia jukwaa la ma-star kisha hoja mchanganyiko namalizia na...
Tuchezeni mchezo wa maswali.
Toa swali lolote kati ya Hisabati, Kiingereza au Kiswahili kisha mtag/m-mention member yeyote utakayependa aje akujibie swali lako, nae akishakujibu atatoa swali la...
Mwanamama anaingia katika bucha , muda mfupi kabla ya kufungwa bucha na anamuuliza muuza nyama:
"Una kuku?
Muuza bucha anafungua friji yake na kumtoa kuku mmoja tu aliyebaki hakukua na kuku...
Kuna adhabu nyingine unaipata unashindwa kujua kabisa kwanini nimepewa adhabu hii hasa kipindi cha utoto kuna adhabu za kionevu sana. Mimi za kwangu ni hizi kila nikizikumbuka naonaga ni uonevu tu...
Hivi arusha wapo jf members wa arusha ambao ni mahandsome very handsome ?
Kama mpo comment here if your very handsome only .
ila kama unaweza tokelezea poa ila hii fulsa ni kwachuga tu.
Nafunga account yangu kwa muda masomo yapo hectic sana .
So kwaherini nitarudi mwakani .
Heri ya xmass na mwaka mpya .
Dah nimechoka kuandika humu.
Nimefurahi kukutana na watu napenda maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.