Habarini za muda wadau.
Mimi nimekuwa nikisikia tu mara ooh wanaume dar wanaume wa dar ila sijajua hao wanaume wa dar ni kina nani?
Ni wale wazaramo na wandengereko wapenda vigorodo?
Ama...
Nipo hapa kijiwe fulani nimekaa namsubiri mgeni wangu ashuke kwenye daladala basi stori za hawa jamaa zipo hivi
Basi mmoja anawaambia wenzake hivi:
Mwanaume acha kuzubaa ukiwa mjini MKEO ATAKUWA...
Si kila mmoja wetu amefanikiwa kufikia level kubwa ya Elimu wengine tuliishia Shule ya Msingi!
Binafsi mimi Nimeishia darasa la 5, baada ya kujikuta sipendi shule wala kusoma.. nikaona haina...
Weka listi yako ya nyimbo ambazo siku haiwezi kuisha bila kuzisikiliza.
Mimi playlist yangu ni hii..
>> Mr Eazi -Hollup
>> Mr Eazi -Sample you
>> Dj spinal ft Mr Eazi -Ohema
>>Designer -Panda...
katika kesi nyingi za ugomvi wa wanawake wanapenda sana kudharirishana kwa kuvuana nguo.
Wanaume hata wapiganeje huwezi kuona wanavuana suruali.
wamama na wadada vipia hapo,
Huyo mwenye kanga...
Wale waoga wa kutembea usiku bado npo.mie nilisha acha kitambo ilikuwa nikitumwa usiku dukani yaani inakuwa kama wajatuma mtu wanakuwa wametuma felali ni balaa
Nachukua nafasi hii kukutakia Birthday njema naomba Mungu azidi kukubariki akuongoze katika kila jambo ambalo utakuwa unafanya ili uweze kufanikiwa pia akusaidie ili uweze kuona miaka 100 ijayo...
Bi mkubwa kapoteza kadi yake ya bima sasa mwezi mzima namzungusha leo kanikomalia nikamchukue tushugulikie tumalize
Naenda mfuata namkuta yuko na rafiki yake, eti anamsindikiza,sasa hizo stori zao...
Katika vitu vyenye majina mengi hapa bongo na duniani basi ni fedha!Naweka machache hapa,hebu nawe ongezea tuone maajabu ya fedha!
-Pesa
-Mkwanja
-Mapene
-Mshiko
-Noti
-Mchele
-Mavumba
-Ngarawa...
Masingano alikuwa na mtoto mmoja tu aliyeitwa Singano. Singano alikwenda kusoma Ulaya wakati huo Sesingano alishatangulia mbele za haki.
Singano alipata barua ya ugonjwa wa mama yake. Aliwahi...
Dah nilijua ni bonge la msosi kumbeee...
HOTEL ZA KITALII BWANA!!!!
Unaenda Kempiski unaona menu imeandikwa:
Sauteed white corn, rare lucy beans, garnished with rift potatoes & topped with...
Zamani ilikuwa mwanamke akipika Chakula halafu mumewe akakataa Kula kwasababu hajakipenda walikuwa wanalia sana...
Lakini siku hizi mwanaume akikataa Chakula mwanamke anakichukua mezani anarudi...
Swala hii itapigwa leo saa 6 usiku na wazee wenzie ,kaniambia swala hii huwa ni ya kushitaki kwa mungu juu ya kiti kilichopotea na kulaani aliehusika kwa njia yoyote hata kama alisaidia kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.