Amani ya Bwana iwe Pamoja nanyi Ndugu zangu Wakristo/Waislam!
Nimejaribu kutafta msaada kuhusu hii ndoto kila mahala ila bado sijapata ufafanuzi wa kunisaidia.
IKO HIVI
Takribani miaka kumi na...
Weka msemo unaotrend JF kwa sasa ambao huko Duniani kwingine haupo.
Mfano.
mkuu.
papuchi
Kishudu .
Bila kusahau wale wa Forex Msemo wa ONTARIO umekuwa maarufu sana humu JF kipindi hiki.
Hiyo...
Salamu zikufikie
ewe mrembo kritika popote ulipo, sina hari juu yako mimi ny'ang'any'ang'a sina usemi mama... umenibamiza mlangoni sina jinsi ntatoa tu damu.
mapenzi jeneza basi mi ntalala...
Wakuu habari ya usiku natumai mnaendelea kupumu
Niko safari kutoka dar naenda Mby niko kwenye IT dereva ni mdada mrembo afu tuko wawili shida ninayo ipata hapa amevua nguo ya juu amebaki na...
Nakuombea furaha yako iongezeka kama bei ya petrol na umeme
mashaka yako yapungue kama kura za ccm 2010
umaarufu wako uongezeke kitandan na kwingineko kama kijiji cha loliondo
hekima zako...
Jina lilipohusishwa na zero akalikana na kutwaa jipya, na hilo jipya lilipohusishwa na Makontena yaliyohusishwa na kutaka kukwepa kodi nalo ameanza mchakato wa kulikana.
Kwa kuanzia ameanza...
Habari wana jukwaa, natumai hamjambo!
Mke wangu Mama Nyaiwa amekuwa akinilalamikia sana et kwann me sim'peleki kutembelea mbuga za wanyama,
Baada ya usumbufu wa mda mrefu nikaona msimu huu wa...
Namshukuru mola wa viumbe wote baada ya kuhangaika sana mke wangu sasa ni mjamzito. Tangu wiki ya kwanza ya ujauzito wake ambao sasa una wiki takribani tisa amekuwa na tabia ya kuwa na mimi karibu...
Wasalaam
Kama kichwa kinavyojieleza salam zangu ziwafikie watu wafuatao;
•Wanaume wote wanao fanya scrub na kufanya make up.
•Wanaume wote wanao tumia emoji kama hii
•Wanaume wote wenye selfie...
Umeshawahi kwenda kwenye harusi halafu Dj akawa anaplay mziki wakati huo mziki uko sauti ya juu sana halafu unaongea na rafki yako kwa sautiii ili akusikie.
mara Dj anazima gafla mziki halafu...
Kawaida binadamu anapofika umri flani wa kuuaga utoto huanza kupata ndoto za ngono (wet dreams)
Sasa embu karibu kushare toka uanze kuota hizi ndoto ni mtu gani maarufu(star) ushawahi kurukanae...
Wakuu hamjambo?
Nilitegemea kurudi #DarCityBaby ila kila nikikumbuka hilo joto, na mikelele, na mji ulivyojaa matapeli, kwakweli nakosa hamu. Ila sababu kubwa ni Bata kuninogea hapa Arusha city...
Mimi mkristo ila nafunga sasa kwenye pita pita nikaona bango linasema "Kufunga bila kuswali ni sawa na kuweka simu chaji bila betri"
Sasa ndo nauliza Je? Fungo yangu inahesabika au najishindisha...
TANZANIA YATANGAZA KIKOSI CHAKE CHA WACHEZAJI 23 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA RUSSIA 2018
MAKIPA
Aish manula
Peter manyika
Said mohamed
MABEKI
Yusuf mlipili
Erasto nyoni
Shomari kapombe
Gadiel...