JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hadithi za mademu wa kibongo.... saa...12:00 nakuja 13:20 ndio naoga, 15:50 navaa nguo 17:40 ndio natoka, 18:30 nipo kwenye bajaji 19:20 babe sitakuja Mama ameniambia niwapikie wageni...
5 Reactions
24 Replies
5K Views
UONGO NA HAKUNA KITU KAMA HICHO KITAKACHOTOKEA. Updates: nilitaka tu kuwashika masikio.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Itambue tu kwa kuandika namba ndogo hivi ¹²³⁴ badala ya 1234, Pia ½ ⅓ ¼ ⅛ ⅔ ¾ ⅜¹⅛ ⁴⅝
0 Reactions
125 Replies
8K Views
Salam kwenu wana chit-chat. Siku hizi kuna tabia ambayo mimi kama mwanaume mtafutaji siifurahii. Wanawake hawatupigi mizinga kama zamani. Wengi tulishazoea haipiti week baby naomba hela ya kodi...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Nipo pande za Ukonga huku napata sharbat basi kuna wahudumu kama wawili hivi wanapita kuwahudumia wateja hapa nilipo nimekoma kinoma kwa hawa wahudumu wawili. Alafu wote vijana wa kiume, hila...
1 Reactions
5 Replies
723 Views
Deleted member 485868
Habari zenu wa JF Leo naomba tujadili namna Mama zetu wanavyolea watoto wetu Hivi ni sahihi Bibi kumtetea mjukuu pale unapomuadhibu hata kama amekosa? Wewe kama mzazi wachukuliaje suala la...
3 Reactions
67 Replies
3K Views
Eti wew umelionaje mi haraka haraka nkajua Tamthilia
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ni hoja nyepesi sana kuijibia kwanini ulikohoa ulipopishana na mwanamke. Wala haihitaji uwepo wa Peter Kibatala au Tundu Lissu(Kaka wa taifa) wala Fatuma Karume kuijibia kesi hiyo. Hii ni kesi...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
wadau baada ya lile onyo la kipigo cha mbwa koko, leo lingine limetolewa onyo kwa wale wanaume ambao hupata ugonjwa wa kikohozi pale wanapoona mwanamke aliyejaaliwa chura akikatiza mbele yao. Je...
0 Reactions
4 Replies
674 Views
Asante mungu kwa kunijalia siku nyingine naomba ulinzi wako kutwa nzima ya leo uniepushe na aina zozote za kishetani,unipe nguvu na afya njema,katika jina lako takatifu AMINA.
6 Reactions
5 Replies
882 Views
Dear Juma Mwamnofu. Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Sisi sote tu wazima wa afya. Dhumuni la kukuandikia barua hii ni kukujulisha mambo machache. Siku hizi vitu vya...
4 Reactions
9 Replies
918 Views
*Hivi mmegundua kwamba Sasa hivi kila YANGA wakifungwa basi kuna mtu maarufu anatoka gerezani... walifungwa na Mbao Babu seya na mwanaye wakatoka gerezani, wakapigwa na prisons Sugu akaachiwa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii niliangalia Interview take na CMG pale alipoulizwa je unampango wa kuongeza mke ? Pale mtu aliyekomaa ni rahisi tunadanganya wazazi ushindwe kudanganya media,alitakiwa kuruka futi mia...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani nimechukuliwa video nacheza kwangaruu wallah nacheza kama zari wakati namchekaaga zari kumbe hata mi sijui kucheza jamani nimesikitaka sanaaaa,japo namzidi lakin tunafanana kucheza...
5 Reactions
63 Replies
4K Views
Wale wote tusiokubali kuchunwachunwa au kupigwa mizinga na wanawake tukutane hapa kwa lengo la kujadili mbinu mpya na kufanyia maboresho mbinu tuzitumiazo za kujikinga dhidi ya kupigwa mizinga...
43 Reactions
301 Replies
22K Views
Tujikumbushe vituko ambavyo tulivifanya kipindi tunasoma sekondari 1990s. Kuwakaribisha form one kwa kipigo mabwenini,ilikuwa lazima form aliyekuwa akijiunga na secondary za bweni lazima alipata...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
朣楢琴执㝧执瑩浻牡楧㩮㔱硰执㝧执獧浻牡楧 敬瑦&#28720...
0 Reactions
39 Replies
12K Views
Habari wana jf wote. Katika kuhakikisha Tz inakuwa nchi ya uchumi wa viwanda niliamua kufanya tafiti zangu humu jf tangu mwaka 2008 hadi 2018. Katika tafiti zangu ilikuwa ni kubaini watu wenye...
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Now Malaika Who is available? Will be here till Saturday. Two drinks on me
0 Reactions
0 Replies
368 Views
Habar, Ikiwa tayar Dad keshafanya yake Mimi nasema hivi.... Karibu sana LULU karibu sana kitaa Ila mambo yamebadilika sanaa mdogo angu Kama.... 1: Dodoma Imekuwa jiji. 2: Alikiba sasa ni...
1 Reactions
37 Replies
2K Views
Back
Top Bottom