JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna katabia kimezuka kwenu nyinyi. Wanawake kuwanyimma unyumba waume zenu, mnawazaga nini mpaka inafikia huko? Utakuta mumeo umpi mbunye wiki mbili au mwezi nzima unategemea nini mwanamke...
1 Reactions
61 Replies
3K Views
habr wana jamvi hii inatukumbusha mbali sana watk tukiwa darasani kila darasa lilikua na watu kama hawa mchoraji wapenzi sister du wa darasa waimbaji joni kisomo manunda watoro wambea...
1 Reactions
68 Replies
4K Views
Unakuta mwanamke yuko on her 20's ila anavaa kama mwanamke wa 60's. Jijali, jiweke smart. Sio lazima utumie vitu vya gharama uonekane mzuri. Tumia resources ulizonazo kujiweka vizuri. Achana na...
20 Reactions
369 Replies
14K Views
nilisikia na ninaendelea kusikia kuwa wanaume wenye upara huwa waaminifu sana kwenye Mahusiano. Nami sasa nimeamua kunyoa kipara nione pengine Nitakuwa muaminifu. MNIOMBEE(in mkulu voice)
6 Reactions
66 Replies
8K Views
Watanzania na tamaduni zetu za asili........ [emoji16][emoji16]
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwa wale wanaume wa Dar mtakaoenda kupimwa tezi dume wekeni majina yenu hapa.
9 Reactions
43 Replies
2K Views
RATIBA YA WANAUME WA DAR W/KEND 1.Asubuhi-Chai na soseji moja na yai la kuchemsha Baada ya chai anaangalia tamthiliya ya kifilipino[emoji2][emoji2][emoji2] 2.Mchana-Chips mayai na mayonaiza na...
9 Reactions
188 Replies
7K Views
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umelala usinguzi, halafu ukaota mtu anakuuliza, unahisi 1500,000,000,000/= zitakua zimetumika kufanyia nini? Mfano Mimi ntamjibu; kwa kuwa nimesikia matumizi yake hayajulikani, basi zitakua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Binafsi huwa napenda mno kuwatembelea Marafiki zangu Majumbani mwao ambao wengi wao huwa wana Watoto wadogo na kizuri zaidi ni kwamba huwa nina bahati mno ya ‘ Kupendwa ‘ na Watoto wao na hata...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Kwa nilikuwa nawaza niandike kwa lugha ipi ??niliandika kiingereza nikafuta nikawaza niandike kwa kiswahili kuna yule dada anakosoaga..ila hatimaye nilitumia lugha yetu pendwa ya kiswahili...
0 Reactions
61 Replies
2K Views
Jana nilikuwa na babu tukawa tunapiga stori za hapa na pale,, hii kauli imeniacha mdomo wazi, "sisi wanaume ni punda mjukuu wangu" nkahoji kwa nini unasema ivo? mwanamke ukisha mzarisha tu upendo...
0 Reactions
7 Replies
851 Views
Wanaume wa mkoa mpooooooooo???? Mna TV lakini??? mtakuwa mmepata kuona kama si kusikia mafuriko kwa RC.., hayo ndo matokeo ya zile chipsi tunazokula. Nyie endeleeni kulima viazi huko mtuletee...
10 Reactions
57 Replies
3K Views
Naombeni ufafanuzi kwa anaejua kwanini...
1 Reactions
83 Replies
4K Views
Wapendwa habari za masiku, Naomba niseme na baadhi ya wanamume, Jaman kuna baaadhi ya wanaume wa siku hizi hawajui kushake well ,mmekuwaje?? Mtu unaenda kukojoaa kwann usituliee umalize mkojo...
3 Reactions
125 Replies
6K Views
Nina dv3 ya 23 C-physics C-biology D-chemistry C-geograph C-history D-mathe C-civcs D-kswahl D-english yawezekana kuchaguliwa advance f5 PCB kwa shule za serikal ikiwa chemistry Nina D
0 Reactions
0 Replies
463 Views
Ndugu zangu wanaume wenzangu tunaoishi na kufanya shughuli zetu hapa Dar, sasa hivi tumekuwa tunashambuliwa mno mitandaoni na watu wa mikoani hasa wanaume wenzetu wanaoishi mikoani na pia hata...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Maisha mfupi haya kuanza kuingilia maugomvi ya watu usoyajua hata yalipoanzia na wewe kuchukua nafasi ya kugombana na mwingine. Waache wanaogombana wagombane wenyewe maana siku wakipatana utabaki...
15 Reactions
356 Replies
14K Views
<VidMate> Wasanii DIAMOND PLATNUMZ na NANDY waomba msamaha mbele ya TCRA/ Diamond: Mimi ni bingwa wa KIKI Watch Wasanii DIAMOND PLATNUMZ na NANDY waomba msamaha mbele ya TCRA/ Diamond: Mimi ni...
0 Reactions
0 Replies
474 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…