*Kampala to Jinja is 8,000shs and Jinja to Kampala is 4,000shs ....*
*I asked the conductor why?*
*He answers ... "Why is Monday to Friday 5 days while Friday to Monday is 3 days?".*
*Then I...
Kama kichwa cha habari hapo juu, mliofunga ndoa kutokana na JF, mlikumbuka kutoa shukran kwa Max Mello?
Si uugwana kuto kutoa asante katika jamii yetu.
Mkimualika kama yuko busy mimi si mind kuja...
Tazama tutorial ni jinsigni unaweza kufanya mockup kati ya logo na t shirt nji hii ni rahisi na inaweza kuonekana realistick
tutorial lugha ni yakiswahili
BOFYA LINK KUTAZAMA MAAJABU YA...
Hii tulikua tunaiita hvo hivo kama ilivoandikwa ""sport"". yani ni wanafunzi wachache sana walikua wanarudi nyumbani bila huo mfuko kuwa na mafuta ya maandazi na bagia.
Sisi wanaume ndo ilikua...
Standing here looking out my window
My nights are long and my days are cold
Cause I don't have Mzigua90 by my side
How can I be so damn demanding?
I know you said that you are coming now
But I...
MAPENZI NI MATAMU ILA ACHA KIHEREHERE..
Ama hakika mapenzi ni matamu sana ukimpata akupendaye mkashibana. Kumjali mpenzi wako ni jambo la msingi sana lakini ni vizuri kuepuka kuwa na kiherehe...
ilikuwa hivi
Polisi: Jafari tumekuita ili tukuhoji kuhusu mali zako je uko tayari tuchukue maelezo
Jafari: Ndio niko tayari
Polisi: Hizi mali ulizipataje maana kipato chako halali hakiendani na...
Najiuliza tu hapa kama nina kazi na mshahara haumalizi hata mwez na sina majukum kiviiiile, hivi ambao hawana kaz kabisa wanaoshijeeee
Au ni mimi tu na matumiz yangu!!!
1. Ukija kijiweni au pub au kwenye nyama choma acha zile stori za sijui umesoma wapi hadi wapi, sijui una madigirii mangapi. Piga stori nyingine, mbona ziko nyingi tu. Kujielezea sana shule yako...
Ilikua tarehe 14/4 mwaka........ Siku ambayo mama yangu kipenzi kwa uwezo wake mwenyezi mungu alinileta duniani...... Namshukuru mungu nimekua na mpk sasa nakaribia kuitwa mama japo changamoto ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.