Mange kimambi wewe utabaki bila mume hata kama selikar ya kidunia itatulazimisha tuoe wanawake kumi kumi
Iv kweli kuna mwanaume jasir wa kwenda kumuoa mange kimambi?
Yaan ukiwa umelala unatakiwa...
Nawasalimia wanaJF chit-chat Mara ya mwisho nimeonekana humu mwishon mwa 2016 niliwamiss na nimerejea tena japo Mara chache nlikuwa nachungulia bila kuandika wala moment chochote.. Nafurah majina...
Hello wana chamvi, tangu nijiunge na mtandao the huu wa Jf nimekuwa nikifatilia baadhi ya thread za watu na hawa ndo nilitaman kuonana nao live (mubashara)
1.Demiss
2.Mzigua
3.Bujibuji...
Heshima kwenu wakuu.
Nimempigia simu jana Mzee mmoja huko kijijini.
Ni muda tulikuwa hatujawasiliana tangu January yani pale mwaka mpya.
Mimi: Mzee shikamoo
Mzee: Marahaba, hujambo mwanangu...
kutokana na kuwa watu wa dar wamekuwa wakijiona wao ndo wao kwenye kila kitu na kuona sisi wa mikoani ni washamba nimeona bora nasi tuanzishe Forum yetu tuwe tunapeana Maujuzi mbalimbali na habari...
Kwenye nyimbo ya mahabuba wewe na aslay uliimba maneno matamu sana kama
''Wacha wapaki marange nimependa bodabodo"
"Chai kwa andazi wala sinagashida"
"Uniletee boga ninapomiss baga"
Sahivi...
Wadau wakati najikumbusha kitabu flan cha shule ya msingi miaka yetu si tunasoma enzi za Mr na Mrs Daudi( nadhan kwa sasa watakuwa wamezeeka sana nasikia baraka yule mtoto wao mdogo ameoa miaka 5...
Habari za jioni?
WABONGO WANAGAWANA MAJUKUMU KATIKA JIJI LA DARES-SALAAM KAZI KWELI IPO
DAR bwana
"Wizi" MBAGALA
"umbea" MWANANYAMALA
"mapenzi" KIGAMBON
"vibaka" KARIAKOO
"majivuno" MASAKI...
Katika maisha kuna mambo mengi yanachosha na kushangaza pia.yanaleta ukakasi.
_Mtu kakuamini anakueleza tatizo lake,kama hujui jinsi ya kumsaidia/kumshauri mwambie ukweli tu,usianze kumweleleza...
Hakuna kitu kinachoniudhi kama hhawa paka wanakuja kulilia dirishani kwangu usiku wa manane afu inaliaga kama mitoto.
Niliwahi kutoka usiku wa manane na boksa tu kuwatimua walikuwa wanagombania...
mfano.
Nyani Ngabu.
Hapo unaweza kumwita wee Nyani.
Nataka tuone wale wenye id ya majina mawili na kuendele wakiitwa kwa jina moja inakuaje.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]...
Waheshimiwa habari zenu.
Hapo zamani za kale..2013 nil
ikuwa member wa jf.
Nilifanyaga ujinga wa kipumbavu eti natafuta mke na wakati nilikuwa nimeoa.
Pm nilikuwa natongoza kila mtu.
Ebwana eeh...
Kwa miaka mingi humu nilikuwa naongoza kwa kuwa na mabandiko mengi kushinda wengine.
Nadhani hadi kufikia mwaka jana, kwa kipindi fulani, nilikuwa naongoza.
Lakini kwa sasa hilo taji sinalo...
Habarini wana jamvi?
Napenda tujuzane mara ya kwanza kubet ilikuwaje na ulijiskiaje baada ya game upizobetia kumalizika?
Binasfi mara ya kwanza kubet nilikuwa nakula bia mahala uku nacheki mechi...
Ts been a long week!
0kwa0p ndio mwanzo wa weekend so ladies mu behave wenzenu jaman..
Na boys msi take advantage kwa wanawake.. u never know who will scratch ur back..
Nakumbuka nyimbo moja ya...
Habari zenu wakuu
Leo ningependa kila mtu aweke tukio lake alilowahi kuliona kwenye mabasi ya mikoani.
Nikianza na mim mwenyew,
Mwezi wa 1 nlkua natoka Dar naenda Moro ndani ya Alsaedy bus full...
Nilipokuwa darasa la nne Mwalimu wetu mmoja wa Hesabu hapo zamani alitupa quiz ya kuhesabu na kujumlisha toka 1 hadi 100 na tumpe jibu. Kipindi kilikwisha pasipo jibu.
Siku iliyofuata alitupa...
*UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.