Hatimaye mzee wa USA Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members wa JF pia kuna uwezekano hata ile title ya Platinum member nayo amenyang'anywa .
Pia kuna uwezekano mkubwa hata akawa...
Haha,aisee hii mambo nimeifanya sana kipindi cha nyuma.
Pindi pale mmetoka viwanja,then mnahangaikia pa kulala, mwendo unakua ni VYUMBA VIMEJAA, dah kitu SAA Tisa hiyo...
BT sikuzote bahati huwa...
Habari za Muda huu Wakuu,
Binafsi nina Addiction ya uvutaji Sigara. Wale wenye addiction ya uvutaji wa Sigara tubadilishane mawazo na tupeane maujanja na kujuzana aina mbali mbali za Sigara na...
habarini wanajamvi
na swali moja huwa sielewi hasa kwenye misiba unakuta wadada na wamama wakilia wanaweka neno " eee tata" hivi huwa lina maana gani?
nawasilisha.
Hakuna mechi ya mpira iliyochezwa kwa mda mrefu kuliko ile ya Marekani na Argentina mwaka wa 1941 na ilikuwa fainali,wanaume walipiga dakika 90 ikawa ni sare 2-2 refa Tom Foll akaongeza zingine 30...
Kuna katukio kalikua kanatokea sana enzi za shule ya msingi
Aisee maana hakuna kitu kilikua kinauma kama umetoka darasani kwako ukaenda darasa lingine kuongea na rafiki zako au kupiga umbea,alafu...
Wakuu majukumu yanaendaje.
Nimeona si vibaya tukakumbukana na kushea lile school life la pale Mkwawa kipindi ni high school na ikipendeza hata saizi pakoje kwa walio na wanaoendelea na chuo...
Usinipe bia nipe Dili.
Unanipa bia ili iweje, nipe Dili Bwana.
Nipe Dili ili ukinunua bia mimi ninunue nyama choma.
Kwanini hutaki team Work?
Kwanini wewe hutaki nami niwe Na changu?
Kwanini...
_____________________________________
*AINA NANE ZA WANAUME HATARI.*
*↓↓ 1-ASIE PENDA KUFANYA KAZI AKISUBIRI ALISHWE NA MKE.*
Huyu ni hatari kwa sababu hatokuwa na ujasiri wa kumkemea mke pale...
Sina mengi ya Kuzungumza ila nadhani mafanikio ya Awamu hii ni kuporomoka kwa bei za Bia .
Nyingi ni Tsh 1500/=
Na sasa Castle lite ni 2000/=.
[emoji482] Cheers .