*BARUA KWA WANAUME WOTE NCHINI[emoji394][emoji404]*
*Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo wanaume mnatakiwa mjirekebishe 2018*
1) *Utakuta mwanaume anasafisha chumba mara 7 kwa wiki*
_hayo ndiyo...
Wadau,
Ninafikiria sana swala la kuhama Tanzania na kwenda kuishi nchi nyingine mimi pamoja na watoto wangu.Nimefikiria sana nchi za kwenda na moja nilifikiri nchi za scandinavia,Canada,au USA...
Zikiwa zimebaki siku chache kuufanya mwaka 2017 ubaki story.
Leo napenda kuwakaribisha hapa kumtafuta mrembo wa JF wa mwaka huu.
Tunajua wapo wengi ila wanazidiana.
Hapa...
Hello!,
Kama kichwa rungu hapo juu kinavyotanabahi kama wew ulijifunza baiskeli kwa mtindo unaoonekana pichani hapo chini tafwadhali 2018 oa/olewa na utoke kwenu usiwa-parasite wazee wako...
Watu Vijijini wapo bize sana Mwaka mzima wanalisha mbuzi, kondoo, ng'ombe, kuku, bata, njiwa majani na maji na wewe upo mjini Mwaka mzima unalisha mademu chips kuku,
Mishikaki, pizza na bugger...
Habari za usiku huu wadau:
Nimeshatandika milk stout kadhaa na kichwa changu kiko mahali pake,kabla sijalala wacha niwachangamshe wadau wangu wakeshaji juu ya suala la nafsi,NAFSI ILIYOFARAKANA...
Hello friends.
Nakutakieni mwaka mpya (2018) mwema, na ninamuomba Mungu atufikishe salama.
Nawapenda woooote ndugu zangu wa www.jamiiforums.com na hasa wana wa chit chat
A alaykum to all muslim na wale wenzentu wa imani tofauti na yangu tumsifu Yesu Kristo. Leo Jumapili tulivu nataka nitoe kijistori kidogo kinachohusu mahusiano yangu.
Nilianza mahusiano na...
[emoji121]
UMOJA WA _MASELA NNYA_ AFRIKA MASHARIKI (UMOMANNYA)
TAMKO KUTOKA UMOMANNYA JUU YA MAMBO MATANO MUHIMU KUYADUMISHA PINDI MWAKA UTAPOPINDUKA.
SISI KAMA UONGOZI WA UMOJA HUU TUNAWATAKA...
Wadau
Tunakaribia kufunga mwaka wa 2017 na tunajiandaa kuukaribisha mwaka wa 2018.
Naomba niwasilishe orodha ya watu walionikera sana mwaka 2017. Niseme tu kuwa watu hao siwachukii ila...
Wanajamii
kweli nimeamini dunia imevaa gunia!
jana mida ya mchana kweupe mishale ya saa6 nakatiza round about ya arusha-dar iliyopo mjini kati mo town.
basi bana mi sina hili wala lile hata...
Kaka yangu kanyambia..
"Nimeshuhudia na kupatwa na hili janga, my boy sura kachukuwa yangu, miguu ya mama yake!
Grrrrrr!
Nimekereka sana aise...
Wanaume wenzangu je imewakumba hili janga pia"??!!!
Watu wameshamaliza vijisenti. Wamevikwangua kwangu hii wiki moja iliyoisha.
Watanzania wengi wanalalamika sana. Maisha magumu kila kona! Si maofisini si vibandani si magulioni si bodaboda si...
Mzalamo alitangaza anatibu magonjwa yoooote kwa tsh 100'000 pekeee na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki yako anaongeza chajuu inakuwa 200'000
Mchaga akajisemea hii ndo fursa ya kupiga...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Msanii wa kizazi kipya BEIRA BABY BOY ambaye yuko chin ya uongoz wa MOBETTO MUSIC
Pia ni mwana jamiforum...