JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Tunaomba serikali itekeleze mambo yafuatayo 2018 1.Mimba iwe miezi minne baada ya miez 9 maana wamechoka kubeba[emoji12] [emoji12] [emoji12] 2.vocha ziuzwe mia 4 na mia 9 ili tupate mia za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau mambo vipi,eti kati ya mwanaume na mwanamke ni nani ambaye akiwa uchi mbele ya umati wa watu anapendeza kwa muonekano wa kila kitu?,yaani kiasi aibu ya mmojawapo inaweza kuwa ndogo kuliko...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
KUNA KITU HUWA NAJIULIZA KUNA MUDA UNAMKUTA MTU ANAKUOMBA MSAMAHAA OHOO NISAMEHE SITARUDIA TENA. KUNA WAKATI UNAFIKA MTU UNAMKATAZA MTU USIFANYE JAMBO FLANI LAKINI HASIKIII UNAMKATAZA JAMBO...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
*Habari wandugu* Siku ya mkesha wa mwaka mpya natajia kufanya sherehe ndogo nymbani kwangu vyakula na vinywaji vyote vitakuwepo, hivyo basi kama una nafasi na wewe fanya yako nyumbani kwako na...
0 Reactions
1 Replies
904 Views
Chuma cha pua kigumu sana hakitaki kusagika
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Moja ya vitu vinavyosumbua akri yangu ni kumbukumbu ya hela nilizohonga miaka 2 iliyopita mara laki Mara 50k ,vp mwanaume wenzangu hili tatzo ni la wote au ni Mimi tu?
0 Reactions
0 Replies
483 Views
Haiwezi ikawa ni kubahatisha, Sehemu kubwa ya msiokuwa Waislam (Wengi wenu) Ni wabinafsi, wachoyo, Hamna haya na Mnapata dhambi linapokuja swala la kushereheka na marafiki pamoja na majirani...
16 Reactions
128 Replies
8K Views
1) Gari la kuvutwa halina overtake 2) Kisigino hakikakai mbele 3) Wimbo wa taifa haupigwi disko 4) Feni haiwashwi beach 5) Mshikaki hauchomwi kwa jiko la gesi 6) Mganga haagizi tembele 7) Hata...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Katika kutafuta huduma za jamii, baada ya nenda huku nenda kule nyingi, nilipewa barua inayihitaji mhuri na sahihi ya boss ili kumaliza mjadala. Boss huyu anapatikana wizara flani, nika tinga...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
[emoji121] LOOK HERE GUYS. WELL, I SOMETIMES TEND TO DROBTACLANATE THE EXISTING WIND, WHILE DUMPISHING THE SYMPOSIUM AROUND AT THE SAME TIME. EPLIDWISHING SO- NECESSITATES THE EXISTANCE OF...
0 Reactions
6 Replies
908 Views
Wadau JF, Nimeona niandae thread maalum kwa wanaopenda kuibariki Israel tu. Nina imani hili ndiyo taifa teule La Mungu. Bila Kupoteza muda maana watu wamekuwa wakipigizana makelele yasiyokuwa na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama swali linavyouliza hapo juu Nashangaa mtu hanywi pombe Lakini anadiriki kuichukia na kumsema vibaya mnywaji Hapa duniani kila mtu ana starehe yake ,kuna wapenda mademu,kuna wapenda...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Alikuwaga anatangaza kipindi flani cha mahaba kwenye kituo cha redio free africa. Alini inspire sana. Yuko wapi huyu mtu jamani?
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari zenu ndg. Nipo tu hapa nimelala nahisi nina maralia. Maana kichwa miguu na hata uchovu ni wa dalili za maralia. Niwatakie tu usiku mwema.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nina jamaa yangu yeye ana bahati sana na wanawake wanaoitwa Marry, yaani akikutana na mwanamke wa jina hilo huwa hatumii nguvu wala nini. Wakati huo huo, yupo mwingine yeye akikutana na mwanamke...
1 Reactions
147 Replies
14K Views
Pale ulipoanza kujisajili hapa JF naamini kuna ID ulitaka uitumie kukutambulisha wewe lakini ukaambiwa tayari inatumika na mtu mwingine. Je ni ID gani uliitamani ujiunge nayo lakn ikashindikana na...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Binafsi nime enjoy sana kuwa pamoja na wanajf wote. Naomba radhi kwa wachache tuliopishana kiswahili na nawatakia heri na fanaka katika mwaka 2018,bila kujali itikadi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jf, Katika kufurahia sikukuu hii Leo,naona ni vema basi ukatupia comment ukimention jina la member yeyote kumtakia heri ya sikukuu hii ya Leo. Napenda kuwatakia wote kheri na fanaka ya...
5 Reactions
54 Replies
5K Views
[emoji746]Maneno ya Mademu na maana zake halisi[emoji746] *Nisalimie ma mkwe jaman*= Demu wa dizaini hii ni mcheshi,anajiamini, ni mama bora wa badae,ana hofu na Mungu ila usikimbilie...
5 Reactions
46 Replies
7K Views
[emoji121] Wakuu, Kutokana na necha ya kazi yetu ya uwakala tunatakiwa kuwa kibandani muda mwingi sana ili kusuburia wateja na kujihakikishia miamala ili bosi afurahi. Na hivyo ni ngumu sana...
7 Reactions
104 Replies
8K Views
Back
Top Bottom