Laiti kama kila mwanaume angekuwa akipiga bao inalia kama gobole sijui ingewaje
Usiku ingekuwa hapatoshi ile puu! Puu! Ingebidi litengwe eneo mahususi kama la viwanda[emoji86] [emoji86]
Wanaume waoga na wasiojiamini humu JF ni wale ambao majina yao halisi ni tofauti na username zao...
[emoji89] [emoji89] [emoji89]
Maoni yako ni lazima maana umo kwenye list [emoji1] [emoji1]...
Haya tena wadau wa JF.
Ndio tunaumaliza mwaka 2013 na tunaukaribisha mwaka 2014.
Kama mnakumbuka January 2013 tulifanya White Party pale Kebby's Hotel Mwenge ambapo ilifana sana.
Kwa mara nyingine...
Habari zenu wakuu..., poleni na shughuli za kutwa nzima ya leo...
Naomba kuuliza kwa wale wanaopost kutafuta wachumba humu ilihali hawana mpango/hawako serious.., hivi huwa mnawaza nini? Au huwa...
Habari iliyotufikia hiv punde... Basi lenye namba za usajili 'T 767 BWK' kampuni ya Ngorika linalosafirisha abiria kutoka Arusha kwenda Dar,Dar kwenda Arusha lililokuwa linatokea Arusha kwenda Dar...
Duh nakumbuka enzi hizo mwishon mwa miaka ya 90' na mwanzoni mwa 2000s nilikuwa primary
Nakumbuka kuna jamaa ilikuwa kila Sikukuu lazma wapigane had watoane damu, kulikuwa na makundi mawili...
Wadau
Naomba niwe Judge wa muda kwenye suala la mavazi kwa JF members wote kwa mwaka 2017.Ukweli JF members wote wapo vizuri sana kimavazi, hongereni sana!
However of particular interest to to...
Tumsifu yesu kristo/Bwana Yesu asifiwe wapendwa katika Kristo.
============<>====<>==
Wapendwa kesho ni siku ya furaha kwa sisi Waamini wa Yesu Kristu, Ambapo itakua ni sikukuu ya kumbukumbu ya...
habari wana chit chat..
familia nyingi zinazojielewa kwenye vikao vyao ili swali halikwepeki..
kwa familia ya wana chit chat swali ili mjiulize na kuleta majibu...
tukianza na mimi kaka mkubwa...
Aisee sjawai kua na furaha na aman kama hiz siku nne na nmewambia narud tareh mbili,hahaha,kumbe niko alone home kwangu ni muvi,Natgeo,discovery,kina kardashian,yaan,najipikia makuku tu,raha...
Aisee hili jina hata wazazi kuwaita Watoto wao imepungua sana mimi hata nikutane na mtu Anaitwa Daudi nakuwa sina imani nae, Ni kama Jaydee alivokuja kuchafua jina la Yahaya
Kuna jamaa angu...
Tupia msemo ambao ulikuchekesha kinoma noma ili wote tufurahi na kidogo tupunguze stress kishkaji.
Minafsi msemo ulioniachaga hoi ni huu wa
'Ujinga ni kutumia masaa mawili kypika ,halafu...
Ladies and Gentlemen i salute you.
Thanks for your opinions and ideas which all helped me to be what i am today.
I thank you all my jf comrades.
I say this words to you.
MERRY CHRISTMAS.
may...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.