Leo trh 26/12/2017 Imekuwa ni siku ya huzuni kwetu baada ya ndg Jeremiah Mrimi wa kijiji cha Kenokwi kata ya Mosongo Kuuwawa na Tembo usiku wa kuamkia Krismas. Huyu ni ndugu na Diwani wa kata ya...
*CHEKA KIDOGO Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana. MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za...
Jana nikiwa nimetulia home kuna sister mmoja jirani yetu alinipigia simu mida ya tano.Nilivyoenda akawa anaongea vitu sivielewi hanyooshi vizuri maelezo nikamsoma psychologically anataka company...
Wana Forum;
Mniwie radhi kwani si kawaida yangu kutembelea jukwaa hili la wapwa na mabinamu lakini leo imenilazimu . . . .
Ashakum si matusi . . . Nikiwa ofisini katika kazi zangu za kawaida...
Habari ya sikukuuu wapenda, kma kinavyojieleza hapo juu.
Nilikuwa namfuatilia mrembo kwa zaid ya miez 4 siku hiyo akanikubalia kunipa hayo mambo, sasa tulipanga kwenda guest.
Nilichokumbuka cha...
Salute,
Namshukuru mungu, leo kwa mara ya kwanza nimeanza kupokea notifications kutoka jamii forums.
Hili tatizo limenitokea tokea December 2017 , leo hii saa 4:06 asubuhi nimepokea...
Leo katika kusheherekea sikukuu ya Krismasi nimeamua kufika Mwanza ili nipate Sangara na Sato nitakuwa hapa Malaika Beach kama kuna mtu maeneo hayo naomba tuonane tubadilishane mawazo.
Wakati enzi hizo napata kinywaji uwezo wangu ilikuwa bia chini ya kumi Na sidhani kama nimewahi fikisha hizo bia kumi.Na Bia zangu nilizokuwa nakunywa ni zile ambazo gharama yake kwa bia Moja...
Aman iwe nanyi watu wa mungu
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Toka niachane na demu wangu mwaka jana mwez kama huu nimekuwa nikisaka mtoto mwingine wa kuwa naye bila mafanikio...
Tang nikiwa mdgo miaka imekuwa ikipewa majina naomba kujuzwa mbatizaji huwa ni nani?
.je anasifa gani?
Je anatumiaga sifa gan kutoa jina kwa kila mwaka?
Naomba wajuzi wa haya mambo!
Hii ni kwa nia njema tu ya kutaka tupeane eksipiriensi ya kutongoza wanawake mijeda hasa wakiwa kwenye zile gwanda zao zile.
Ni jana tu,
Nimeshuka zangu kwenye daladala mitaa ya Survey, nikaingia...
Moja kwa moja kwenye hoja kuntu,kuna utaratibu hufanywa na wenye dhamana ya kumfanyia upasuaji wa kichwa na kutoa ubongo pale inapotokea mtu kaaga dunia ambayo haiambatani na kuumwa.Mfano...
Eti nimeingia fb namkuta mtu anauliza eti jamani napika pilau nikishaweka mahindi naweka nini tena arafu walio like 2000 walio comments 764 sasa hivi niakili kweli au na wewe upo hivyo?
Uzalendo umenishinda kwa huyu binti ambaye ni Traffic ambaye namuona mara kadhaa kwenye mataa ya chang'ombe karibu na Serengeti ana sifa kumi za uzuri zaidi ya alizotaja O-ten imebidi niseme tuu...
Yaan ule usemi wa kuwa ni bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa binadam bongo yaan bongo kila nnacho kifanya kwangu kigum nimesoma Nursing ajira zikatoka sikubahatika kwangu kuchaguliwa basi...
Swayy in the morning no yawning, just chilling nah bleming no criticism
Hypes are chances real no tel out like show room selling out,
Real recognize real making alternatives no talk bout events...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.