As a tittle said...ni nani unaemchukia katika hili jukwaa yan ambae hata ukiona comment yake unahis kukerekwa,me binafsi namchukia huyu anajiita #Ummesh hata sijui kwann but nmetokea tu kukereka nae.
Merry Christmas in advance to all JF members.
Kabla mwaka haujaisha,nimeona itakua vizuri zaidi niki share ka ujuzi kadogo kama asante ya kuuona mwezi december 2017 wa kusaka na ku upload picha...
Tarehe kama ya leo miaka 27 iliyopita kwa mapenzi ya Mungu nililetwa hapa duniani.
Pamoja na mambo mengine, namshukuru Mungu kwa kuendelea kunipa afya njema na kuhimili changamoto mbalimbali...
Tutafute ela,
Kama ilivyo ada wanajopo tupeane laini laini za ndugu zetu hawa"high price life"watoto wakishua..
Kiukweli ukitaka usiwe na stress jaribu kukaa nao hawa, wana-exposure sana anaweza...
Habari ndugu wana JF natumaini mpo poaa hasa katika kipindi hichi tukisubiri kuupokea mwaka mpya 2018 kwa uweza wa Mungu aliejuu.. Kiukweli 2017 ulikuwa mwaka wenye mambo mengi lakini kila mmoja...
Jaman sehemu zote za starehe nilizopita Dar wanaume wote wa Dar wanakunywa vibia vidogo dogo vya 1500.
Kama vile serengeti lite ,serengeti ndogo ,safar ndogo,kilimanjaro ndogo ,castel lager ndogo...
January-Chuma Kinachaji Betri
February
Mapenzi Mubasharaaaaa[emoji7]
List ya wauza unga✍️
March
Bashite
Nape OUT[emoji117]
April
Naliamsha Dude
Roma ametekwa na kupatikana akiwa salama...
JF ni ngumu watu ni anonymous! HAWAJULIKANI! Instagram ubishoo na showoff za kumwaga! Hakuna realistic.. Yaani hakuna ukweli... Badoo ni biashara ya umalaya ushoga na usagaji...
Facebook pekee...
Habar wana Jf?
Tupende vya kwetu jamani watanzania huwa hatupendi vya kwetu
Made in tanzania
Tunapokea Oda wale wa mikoani tunatuma pia
Bei TZS 3,000 tu. Mzigo upo wakutosha.
atakae...
Habari za sikukuuu wapendwa,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 nimezaliwa ktk familia ya kawaida tu hapa tz tangu nipo ktk umri mdogo nimekuwa nikiota na kukumbuka mambo mengi ambayo...
Salama wakuu,
Ni hofu yangu tu nipo njiani kurudi nikitokea mgombani... Nimekutana na washkaji kibao ambao sio wachaga lakini naona swaga la kwenda kwetu kila krismas limewabamba. Pamoja na hayo...
Wajuvi wa hili wahini kabla #Ngwini# hawajachafua uzi huu kwani wao kila kitu ni povu tuu.
Direct to the point;
Tumekuwa tukiaminishwa yakuwa mwaka una siku 365 na robo, swali ni je katika...
Jana kuna chaliii alikunywa k vant na kuvuta bang kwa mara ya kwanza yaani alitupa shidaa kinomaaa...baada ya kulewaaa....alitoka nduki kinomaaaaa....ikawa kazi ni...
Tutafute ela,
Kama ilivyo ada wanajopo pamoja na vyuma kuwa kigezo cha kuendelea kuuza nyago au kuwafanya watu baadhi wadange hapa mjini na kwingineko,sio siri mziki tunaufeel kulingana na...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Mwaka ndo hivyo umeisha wazee, kila mwaka huwa kuna mkali wake
Kwa sisi wana jf wakongwe tunaijua fresh jf...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.