Ukilala tumbo linaangalia darini ni dalili kwamba Wewe ni Mwerevu sana na utakuwa na mafanikio makubwa sana maishani mwako
Ukilala kwa kulilalia tumbo ni dalili kwamba huna akili halafu utakuwa...
Wakuu nina ka project kangu nataka niwatafune mastaa wa kike hapa TZ wasiopungua 20
Nataka nianze kuanzia ngazi ndogo yani mavideo queen ,nije bongo muvi nimalizie na bongo fleva
Kwenye video...
Vichekesho vya baadhi ya Wabunge wa CCM Bungeni
“Mheshimiwa Spika, kabla sijaingia kuchangia bajeti hii, nataka niseme kuwa naona upinzani wamefikia pabaya sana, wanaikashifu serikali sikivu ya...
Wakuu,
Kwa tunavyoishi hapa JF, tunavyo interact, ni hakika, mawazo na michango ya mtu yanahakisi tabia yake.
Kwa hakika hata mtu akikukurupusha usingizini akuambie kama unachagua mtu wa...
Katika pitapita zangu nimegundua mambo ya zamani mara nyingi (japo sio zote) huwa yanapendwa kuliko ya sasa sijui sababu ni nini.ngoja nitoe mifano.
Ukileta battle ya mfano Mr bean vs Charlie...
Habari za jioni ndugu katika Mungu na katika baba wa taifa(Nyerere).
Wengi humu ndani wana nyumba ama wanatarajia kumiliki nyumba.
Je, kuku wa jirani yako wakiingia uani mwako au kwenye wigo wako...
Yani Kwa Hali Ilivyo Sasa Hivi Kwa Mtaji Wa 1000 Mpaka 500sh. Siulizi Biashara Gani Ya Kufanya Direct Naingia Kuinvest Kwenye Betting Company !! Je wewe
Unapokuwa Na Buku Mpaka Jero Mkononi...
Watu Wengi wamekuwa na wapenzi zaidi ya wawili
Hii ni ishara ya kuwa wote alionao awe mwanaume au mwanamke amewatamani tuu Hakuna na upendo wa kweli ndani *true love *
Na tabia hii imewafanya...
SAMAHANI NAOMBA KUULIZA[emoji811]
ETI ZILE NCHI ZENYE BARABARA ZA LAMI KOTE NDO ZINAITWA[emoji810]LAMINATION[emoji810]
%bangi ya sumbawanga bhana haina radha kabisa %
Habari za saizi wana JF chit-chat
Kichwa cha mada chajieleza
- siku tatu zilizopita niliomba mzee anipige tough hela ili niongezee kwenye ada , akaniahidi nimsubiri kidogo , Leo amenipatia hiyo...
jamaa wawili ambao walikuwa wakiendesha magari wameongozana wamegongana leo maeneo ya posta. chanzo cha ajali kwa mujibu wa mke mmoja wa hao madereva ni mwana dada mmoja mrembo wa kibantu...
Wakuu nimetembelewa na rafiki yangu mwenyeji wa Dare s salaam, sasa kanikuta nipo kwenye harakati za machopochopo maana nimetoka kwenye mishemishe njaa kali sana, nimepika ugali na mboga...
Nimekaa, nikaanza kujiuliza siku ya kufa hivi inakuwaje? Sasa Mimi binafsi nafikiriaga Sana ambao ntawaacha hapa duniani.. Hivyo na wivu fualni hunijia kwamba Da..! Ntawaacha washikaji, ndugu...
*Namna wadada wanavyo watambulisha wapenzi Wao wenye sura mbaya...utasikia*
*USIMUONE HIVYO ANAHELA HUYO*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Morning morning morning
Jana wakati
naangalia taarifa
ya habari
mtangazaji
akasema "mpenzi
mtazamaji nataka nikupeleke moja
kwa moja hadi
marekani"
nikazima TV kwa
haraka nikaenda
kuvaa viatu. Hadi sasa hivi bado nimekaa...