Habarini wadau
Katika hospitali moja ya vichaa daktari anaehusika hapo alipokuwa katika mizunguko yake kuhudumia wodi za machizi, chizi mmoja alichomoka kutoka chumba kimoja ameshikilia kisu...
Duniani raha sana , mwanamke akikupenda raha sana, hasa akiwa na pesa na kazi nzuri.
Unakula beers, unakula maisha mjini, ananuka kila kitu kiroho safi, maisha yanasogea. Sasahivi tuna watoto 2...
Mtu akifa...Mimi nikifa...Mbitiyaza akifa...Troy akifa...Shune akifa...Mwanakijiji akifa...Muosha Rungu akifa...Miss natafuta akifa...Lady Jay akifa...Nifa siku ya kufa yake...Mshana siku ya kufa...
Habari
Wengi wanapenda kuwa karibu na wazazi wao na wengine huona taabu pindi wawapo mbali na
wazazi wao hususani daddy ambaye ni gurudumu la famiilia tena ni msingi wa familia kama
hayuko baba...
Ukistaajabu ya Musa ujue wewe mbadoo ujaona ya FIRA na UHUNI...!
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] hatari sana
Street teacher
Wakuu.Sijui ni uhenga umewadia. Sijui ni stress au TBL wameongeza ukali.
Siku hizi nikinywa tu bia 10 Castle Lager ,nalewa mbaya sana mpk watu wananishangaa. Mpk Kuna wakati nashindwa kudrive...
kuna kiingilio???
bei ya msosi per head ipoje kwa anaejua
kufanya birthday party hua wanacharge kiasi gani?
niliwapigia namba zao hazipatikani.
msaada plz.
MUACHE AENDE
mapenz yana nafasi yake lakini mapenz si kila kitu katika maisha, kumpenda mtu asie kupenda nikujisumbua na kujiumiza bule kwa kujisababishia maumivu na mateso yasiyo kuwa ya lazima...
Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ya biko ??.
Alipoulizwa atafanya nini na hela nyingi hizo
Akasema anataka kupanua shughuli zake. Mimi sijamuelewa na sasa hivi watu...
Shalom wakuu,
Muwe na j2 yenye baraka tele (say 'I Receive') na amani. Baada ya kutoka church sasa ngoja nikashtue tumbo kidogo kwa supu pale Nguruko then nirudi zangu nyumbani Goba
Sent using...
Tunatumia Tecno tunadharauliwa sana humu, eti simu hazina kiwango hazitambuliki kimataifa!
Kumbe Tecno jina kubwa hadi UK zipo,hapa nimeambatanisha tangazo kwenye mechi ya Premier League jijini...
Kama bado unasumbuka matumizi mazuri ya JF tukutane hapa
Mie ni vitu viwili naomba kusaidiwa
1. Jinsi ya Kusahihisha tittle/heading maana sioni option yake
2. Jinsi ya kuzungushia maandishi...
K/Mkuu Wizara ya Maji Prof. Kitila akipanda juu ya tanki kuchungulia maji katika vyanzo vya maji kijiji cha Mwankoko Manispaa ya Singida.
Sent using Jamii Forums mobile app