kuachana na mpenz wako sio sababu ya wewe kuanza kutangaza kasoro alizo nazo au mapungufu yake mbele za watu, huko ni kushindwa kuwa na hekma, na kwanin unatangaza baada ya kuachana kwanin...
Nakukumbusha tu kuwa ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo:-
*1.* Ni bei ya sato kilo moja
*2.* Kuku wa nyama mmoja
*3.*kilo 2 za nyama ya ng'ombe
*4.*Sukari kilo 3
*5*. Donna kilo 4
*6.*...
TUCHEZE GAME LINAITWA The last
man standing. Yani unatuma
comment kisha anaefuata
anaanza na neno ulilomalizia. Kwa
mfano: mtu akiandika, natamani
kwenda mikumi anayefuata
aanze na mikumi...
Imetokea mbezi louis ni mara baada ya umlevi mnoja kununu redio nakurudinae mpaka dukani eti akidai redio one haikamati hivyo abadilishiwe hama arudishiwe fedha yake ungekua wewe ndo muuzaji...
Kwenye nyimbo mpya ya roma na stamina..kuna mstar Roma anasema... *Madereva tuna leseni ila Makonda mnatupa loss* ,stamina anamjibu... *Makonda hatuna vyeti ila tumeaminiwa na boss* ...
Nimekuwa nikiangalia notification za likes na zilizoandikwa hazifanani, hivi hizi like kila siku ni 5 tu haziongezeki!!!!?
Hata wengine sijamuona mwenye zaidi ya 5 like kwa Post.
Sent using...
Naanza tuu nilikuwa bright kidogo mmama mmoja mpare mzuri kweli akanikamata Mimi na yeye tutorial tuko wote assignment wote paper wote...ni mzuri kusema kweli...alikua ana akili ila alikua...
kuna vitu vingi mimi binafsi navielewa,navipenda,navikubali,navihusudu, lakini kampani yangu kubwa wanavipinga..sasa sijui ni kwamba najua sana au....
mfano
nampenda kiba sio diamond
nampenda...
Kipindi kile ule wimbo watu walizani ni rahisi sana kuwa na mpenzi ukiwa fukara sana.
Hivi inawezekana eeeh
tia mistari kidogo
.......na alitoa elfu 10 na alikua anataka dafu
oooh no keep...
Aiseeee.....maisha marefu chit chat. Nimepamis sana. Ila, sema ndo hivyo sasa, now its my turn to serve my world, for it served me for so long! Am so grateful !
Sasa tufanye hv. Mtu mzima mishe...
Foleni ipo barabarani,bombani,visimani,kununua luku na hata kwenye mapenzi kuna foleni.
Ukiwa na pesa kibao utakuwa namba wani kupewa penzi lakini ukiwa kapuku utasubiri sana.
Ukiwa mwanamke...
Nawasalimu katika jina la baba huu ni uzi kwa tulio na mademu wahenga mkuje hapa tupeane ushauri na hata mabiti pia wenye mabwana wahenga tukutane hapa
Usisahau kutaja miaka ya uyo muhenga wako...
Hizi ndizo njia za kumteka huyu mlengwa
1) kuwa mcheshi kwake
2) uwe mtu unayemjali-mchukulie kama dada au mdogo wako
3) Akigombezwa kuwa wa kwanza kumtetea ,wakemee wadogo zako na ndugu...
William Malecela (Lemutuz) au makinikia kama anavyojulikana katika ulimwengu wa mitandao ya kijamii kwa sasa ameitikisa tasnia ya television nchini baada ya kutangaza ujio wa TV yake.
Masaa...
ni wimbo upi hutousahau wakati unaagwa kwenye mahafali ya darasa la saba?
binafsi kuna wimbo huu huwa naumiss hadi nalia nkiukumbukaga.
tthe greaters dear the time is over!! let shake our hands...
Wakuu mimi nimecheza gemu nyiingi sana hizi za PC ingawaje kwa miaka ya hivi karibuni nimesitisha kidogo ila hakuna gemu ambalo nalikubali sana kama Motor Kombat 4 aisee hili gemu haliishi hamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.