Amchimba mkwara mzito juu ya mazoezi yanayoendelea kati ya Marekani na Korea kusini kama maandalizi ya kuipiga Pyongyang
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna wakati mwanaume anakuwa na furaha kama wakati anapo ambiwa na mwanamke:
*"kafunge mlango kwanza!"*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]♂♂♂
Sent using Jamii Forums mobile app
*Mzee alienda kanisani kubatizwa alipotoka kwenye maji padri akamwambia “Sasa wewe ni kiumbe kipya,usinywe tena pombe na utaitwa Paul”. Alipofika nyumbani Paul akafungua friji akatoa bia ya Tusker...
Hii kazi ni ngumu sana ya kucheza pale mbele jukwaani ,,kati ya kazi hii ni kiboko,,,kwenye bar naona wanaweka bendi halaf wadada wanakatika kweli,najiuliza hawajaona kazi zingine au ndio hawataki...
Habarini wapenzi Wa chitchat!
Leo tunayofuraha ilioje kumu host member mwenye mvuto Wa maneno Na lafudhi madam mwajuma.
Tunakumbushana kuwa lengo ni kujifunza burudani Na nk
Tunahimiza nidhamu...
Mambo zenu wanajf.......leo ndo siku yangu ya mwisho jukwaani nawaomba mnisamehe kila niliyemkosea.....kila la kheri....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara oooh umejiunga Jana unaandika kama mwenyeji[emoji57][emoji57] . kujichanganya ndiyo mpango mzima.
Eti hujakamilisha hata siku una comment nyingi itakuwa wewe...
wazee wa kipande hii
hili jukwaa kwa ajil yetu wajanja wa chuga na moshi!
asikwambie mtu wajanja wote na machalarii wote wa kisela tunasomeka kipande hii!
wa da slam wanatuogopa sana machizi wa...
paukwa......pakawa na mdudu na watu wakauwawa.Ni ugonjwa uliotoka ulaya,ukaenea ulaya hadi sasa umefikia malaya.Nitawapa stori kwanzia mwanzo start hadi mwisho smart........niendelee?
Mwadilla wakuu
Kama ningekuwa mod wa humu mjengoni sijui kama pangekalika humu yaani vishoka vyote
ningevibanika kisawasawa mpaka vilambe kisogo na vile vitikisa goli navyo ningevipa beki no3...
CHAGGA WOMEN
First Date: You get to buy her Amarula (or Redds), mbuzi choma and dance the whole night. You have to buy her credit, to organize for the second date.
Second Date: You get to buy...
Habari za usiku wanajamvi
Ni ujumbe unaolengwa kuwafikia madada(wanawake) wote humu JF na nje yake kuwa:-
UKIPENDA CHIPSI USIOGOPE MIMBA!! [emoji57]
Tafakari.
Madada wote mkimaindi njooni Kibiti...
Wakati unatamani baba yako angekuwa #Dangote.
Wakati huo huo baba yako naye anatamani we ungekuwa MBWANA SAMATTA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kumbukeni Shetani Anacheza na Akili...
Habari wanaJamvi naomba nitandike mada hii kwa neno moja alafu nawe Kama ni muhenga au uliahasikiaga mambo mbali mbali ya Zama hizo utaruhusiwa kutupia neno . JE UNAKUMBUKA # URAFIKI WA KALAMU#...
kuna video moja nimeiona ikipitumwa ya comedy ambayo ningependa kisa chake nami nikigusie kidogo.
bwana mussa alikuwa akifanya kazi kampuni flan na wazungu kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.