Habari zenu wandugu?? Leo embu tukumbushane mambo ya zamani ambayo ulikua unatumia akili za kitoto ktk kufikiri. Basi bhana mimi zamani nilivyokua mjinga nlikua najua ukizima RADIO kama ilikua ni...
Dah Asalam,
Kwanza siku moja mimi nilianzisha ugomvi nikasahau kuwa asubuhi nilisaga pilipili nikawa nawapa kuku walikuwa na kideli
Sasa jamaa akanipiga ngumi ya jicho chozi likawa...
Habari!
Yani siku yaleo sijui najionaje nahisi niko hovyo hovyo tu yani hovyo hovyo tu . mpaka watu hawawaelewi mtu akisema hivi najibu tu ilimradi akisema vile sieleweki yani. Akifanya hivi kwa...
Jamani naongea haya kwa masikitiko na huzuni kubwa sana hapa. Sina pozi kabisa mwenzenu natafakari bila kupata majibu juu ya sisi wanawake
Kuna sehemu unaeza kuta wanaume wawili watatu wamekaa wao...
Nampenda mpendaaa
Naanii
Kijana mmoja
Naani
Mzungu kidogo
Naani
Tajiri kidogoo
Bosi kidogo
Naani
Mweusi Kidogo
Naani
Mrefu kidogo
Naani
Mpole kidogo
Naani
Ana mwili mzuri
Naani
Magari mazuri
Naani...
Wakuu,
Nimeshaandaa hela ya mchele kama kilo 25 na kuku (majogoo wekundu) wanne kwa ajili ya kumpa mganga mahiri kwenye hiki kitengo.
Ushuhuda wa wazi ni kwamba:
Tangu Januari mpaka sasa nimepiga...
Msanii mchekeshaji katarina aamua kufunguka kuhusiana na na hali ya maisha kuwa ngumu, katarina katika ukurasa wake wa instagram kaamua kufunguka kwamba, baada ya maisha kuwa magumu kaamua...
Wana jf msaada nimekaa siti moja na mang'ati kwa harufu anayotoa nahisi kutapika nataka ninunue maji ya baridi je itasaidia kukata kichefuchefu
sent from nyumbu moderators
Kuna mtoto ameniuliza swali hapa imebidi nimtume kwanza dukani ili nipate muda na mimi wa kuuliza.
"Eti SIFURI kwa kirumi inaandikwa vipi jamani?"
Yeyote anayefahamu anisaidie tafadhali