Huyu jamaa ni nani anayeuza sura karibu kila video lazima atokee???
Nakumbuka tangu miaka ya mwanzoni ya 2000s huwa anatokea karibu nyimbo zote zilizohit kwa wakati huo na sikuwahi kujiuliza ni...
Niko ndani nasikia kwa jirani yangu hapa kwamba anatazama tv, lakini kipind kilichopo hewani ni 3mzuka.Sasa wanapigiwa washindi wao ambao wameshinda tatu mzuka, sasa jinsi mtu anvyopokea tukio la...
Wasalaam wapendwa!
Heading ya mada inajieleza vizuri hivi majuzi nilisafiri kidogo kuelekea Urusi nikafikia hapa jiji la Moscow sasa ugeni umenizidi huku natafuta hawa ndugu zetu diaspora walioko...
niende kwenye hii topic moja kwa moja maana ni kama breaking news!
nimeona video mtu amenunua samaki supermarket ya huko ulaya!
cha ajabu samaki ni wa plastic na ana mfupa yaani katengenezwa...
Habarini za jioni Na poleni kwa weekend!
Napenda kuwajulisha tu kuwa muda wowote tutawaletee interview kabambe ya couple au wapenzi wanaoongoza kushow love hapa JF mr and Mrs smart 911...
Hahahaaa hapana haijatangazwa popote wanajamvi Bali ni Mimi mwenyewe nimeamua kuwaza kwa sauti!
Sio siri huyu Zembela nimejaribu kumfatilia kwenye kipindi cha super mix East African Radio pia...
Wakuu kama una Ndugu, jamaa na rafiki ambaye ulipotezana nae, hamjaonana kipindi kirefu na huna mawasiliano nae huu ni uzi wako.
Wanaweza wakawa ni jamaa na marafiki uliosoma nao, uliofanya nao...
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia
Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .
Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni...
Land alienation
Forced Labour
Low wages
Poor technology
Poor infrastructure
Lack of education
Unemployment
Taxation
Yan hizi point zimewafikisha watu chuo kikuu, huwa hazikataagi swali...
UKIWA FACEBOOK kuna mambo noma sana. MWANAMKE anajiita Cuttly beibz Pweeery Libs ameposti: "Uwiiiiiiiii" na ndani ya 5 minutes kuna 'like' 200 na 'comment' 140. Kwenye hizo komenti humo ndani...
Habari za leo wanajf........hope mko vizuri siku ya leo
hahaha mwenzenu nikiona mwanaume amevaa miwani hasa ile meupe ya wagonjwa macho nachanganyikiwa natamani anifate.....sio siri inawapendeza...
please don't judge my English
Hey friends I wanna play with you the last standing man game and these game unlike @jf game of the year Everyone will participate using ENGLISH only till to the...
Sikuhizi katika nyumba za kupanga yale majiko ya mkaa yaliyopanga foleni kwenye corridor yamepungua, sikuhizi wengi wanapikia gas, yale mashauzi ya kuchungulia mama Sophia anapikaje chapati si...
demu mweusi akioga kwenye swimming pool kwa mbali anaonekana kama mamba[emoji81] [emoji81] [emoji81]
nipo home njoo tupigane
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wanaume tumeumbwa ili tuishi Na wanawake kwa amani Na upendo
Wanasema nyumba ni mwanamke
Hata ujenge nyumba nzuri sana pembeni ya bahari ikiwa hujapata mwanamke hiyo nyumba itakuwa Ukiwa...
jamaa mmoja alikuwa bado wamelala asubuh Ghafla mtu akapiga hodi kwenye mlango mke akaenda kufungua bahati mbaya kumbe ni Mpango wake Wa kando
MKE :unataka nini we mpumbavu
MUME :nani huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.