First things first.... I MISSED YOU GUYS BAAAD!!!!!! cant even express it.
Dah nimekuta mabadiliko ya JF Chit-Chat (Uhuru wa ku-chat ndani ya thread) na nimeyapenda...
Huko nilikokuwa mambo...
Kuanzia leo sitachangia kitu chochote jamii forum kwa lugha ya Kiswahili iwe mada imeletwa kwa lugha ya kiswahili ama ya kingereza nitachangia kwa lugha ya kingereza hata kama ni kibovu kupitiliza...
Salaam wana MMU,
Kumekua na mada mbalimbali zinazohusu tabia,silka za wanawake wa kutoka makabila mbalimbali yaliyo ndani ya Tanzania au nje YaTanzania,mfano kuna mada kuhusu wanawake wa...
Habari wakuu,
Leo ni happybirth day ya mpenzi wangu, sasa hapa najiuliza nimnunulie zawadi ipi kati ya hizi?
1.Pipi
2.Choclate
3.Ndizi
4.Andazi
5.Apple
Hivi zawadi gani atafurahi sana...
Stress ni pale mwalim wa art anaposubiri ajira kitaa,huku kiongozi katoa tamko wanatakiwa walim wa science[emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kwa nini chai haipaliliwi mkaa kwa juu(moto juu ya mfuniko) kama ubwabwa.
Sasa miaka yote chuo unakua unafanya nini hadi GPA ya 3.8 inakushinda?
Ni ipi ilikuwa comment iliyokufurahisha zaidi...
Hi
Nimeona vema sana kuanzisha uzi huu baada ya kuona watu wengi wamepoteza shauku la kuishi hii ni kwa sababu ya kushindwa kupata majibu kamili ya kile anachokihitaji hivyo tunaamini humu ndani...
Kama title inavyojieleza,
Kwa kweli nimechoka kwenda kavukavu, ni muda mrefu sasa, nilimfata jamii forums PM kuhusiana na hili tatizo naona sijui ndo kalipuuzia hili tatizo, nililetega uzi wa...
wakuu kwema, aisee mangi imenibidi nifungue akaunti mpya ili nijiachie sasa ile ya zamani nilikuwa chata mno arif
hebu tushirikishane ulishawahi kufungua akaunti mpya sababu akaunti yako ya...
Braza.....
Ushawahi kukutana na demu anakwambia anasomaga Chuo halafu anakutumia text inasomeka hivi....
"Za hasubui Lichadi,Humehamkaje, nirikuwa nakusalimiha tu hafya vipi?"
"Ndo mana kila siku...
Kwa utafiti wangu nilioufanya kwa muda mrefu hatimaye leo nathubutu kusema kuwa sisi wanaume tuna sura nzuri kuliko wanawake.
Ukitaka kuthibitisha hilo, wanaume huwa hatuna mambo mengi tukitaka...
Wakuu najua itawaia vigumu kuamini ninachowaambia ila ni kweli kabisa nimesahau jina langu halisi nililopewa na wazazi
Jina ambalo ninalolijua ni hili jina la utani au AKA na jina la JF tu...
Daaah nilifanya kosa kubwa sana kuacha kupiga punyeto aisee
Leo nimepiga punyeto mara nyingi sana nilikuwa nimejifungia ndani tu napiga punyeto huku najicheka kwa nini niliacha utamu wote huu...
Hatimaye baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu ,nimekuja kugundua kuwa kioo hakioneshi picha halisi ya mtu
Nimekuja kugundua hivi kwa sababu kuna vioo nikienda kujiangalia najiona bonge la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.