Mwanaume ni Nani?
Mwanamume ni yule ambaye anaenda HOTELINI kwanza na kumuambia Mhudumu wa Hoteli Nikija na DEMU hapa sema "" IMEBAKI CHAI NA MANDAZI TUUU.""...
Ujumbe wa Nanenane 2017
**********************
"wanawake wangeweza kufuga kuku kama wanavyofuga kucha ,tungekuwa mbali sana"
Sent using Jamii Forums mobile app
*Stress ni pale unapokuta kibwana mdogo ambacho hakijaenda Shule kinamahela mpaka kinaumwa,halafu wewe na masters yako unapuyanga mwaka Wa nne,stress zaidi ni pale unapokumbuka ulimwambiaga dogo...
Hapa ni baadhi ya makabila yaombavyo tendo landoa kwa wenza wao!
WAKURYA:Mama Bhoke rara chini ni kurenge!
WAMASAI:Mama yoyo nipe ile kitu namesa mwensake!
WAHAYA:Mama Koku infact njoo...
Chemsha Bongo...
--------------------------------
Inspekta Gamba akiwa anaelekea kazini saa moja asubuhi akakuta kikundi cha watu kando ya mtaro. Kwenda kujionea kunani, akakuta kumbe wamezingira...
Wakuu Kwema? Nimeona ni vema tuelezane yafuatayo kwa upole tu;
1. Kupeleka watoto Shule Wakati uchumi umeshayumba kwa sasa ni kujiumiza..Mpeleke Mtoto Shule utakayoweza kulipa..Pambana na Hali...
Kuna haka katabia ambako nimezoea kukaaona kwenye magroup ya whatsapp kakuwekwa kwenye kikaango ambako muda mwingi Moderator wa mdaharu anakuwa upande wa Muulizwa sasa nakaon ahaka katabia...
Kama ada nipo library,kuna dada kakaa kwe kiti ila alivovaa mapaja yote na nguo za ndani vinaonekana,imebidi nihamie upande mwingine mana nimejikuta badala ya kusoma napiga chabo,hivi hawana macho...
YO! AM KIBOD3 24 male FROM Kentucky (USA) I wanna chat wit my fellow tanzanian b`coz am a tanzanian too i left since young so i wanna com back with my family @ the end of this summer so i need a...
Kuna jamaa wawili walikuwa bar wanakunywa pombe kwa muda mrefu walipoona imetosha wakaanza kurud, na mmoja akajinyea bila kujua wale inzi wa kijani wakawa wanamfata, maongezi yao. Yakawa hivi...
A murderer is condemned to death.
He has to choose between three Rooms:-
1. room: is full of ranging fire
2. room: assassins with loaded guns.
3. room: Lions who haven't eaten in...
Habari wakuu,
Jamani hivi kwanini tusiandae ki event flani hivi wana JF twende tufahamiane vizuri hata bila kutambulishana ID zetu za JF ingekuwa poa tufahamiane freshi wadau ni mawazo tu.
Mawazo ni nini?
mawazo ni pale unapokua darasani mwalimu mkuu anachungulia dirishani
bila kujua unamwambia we popo acha kuchungulia sio dariiii hili
#Jamani nishaacha bangi toka jana
Wana JF. Sawubona.. Khunjani.. Uliotia...Ndeipi, muribo, Habari zenu..Salamu hizi kwa wale wanoajua Kizulu, Kixhosa, Luganda, Kishona, na kiswahili...Heri ya sikukuu ya nane nane waungwana. Bila...
Kumbe BANGi haina madhara yeyote
sa hizi nimetoka kuvuta pafu moja
niko fresh tu, nimekaa juu ya TV naangalia MAKOCHI.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.