*Dah!!! vitoto vingine vinaumbua sana*[emoji15]
Tulikua kwenye daladala, mtoto mmoja akamuuliza mama yake, *mama tunaenda wapi na hatujaoga*?[emoji38][emoji38][emoji38]
Dereva imembidi...
Ni siku njema kwangu na ya furaha sana, nimeongeza mwaka mwingine. Ahsante Mungu kwa upendo wako. Happy Birthday to me !
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpendwa, mke wangu mtarajiwa,
Natumaini ni mzima wa afya huko uliko, yawezekena ni mpweke kwa sasa na unafikiria sana namna gani tutaweza kukutana mmi na wewe, napenda nikutoe shaka, kuwa na...
Katika umri wangu wa miaka 32 ya uhai wangu nimebahatika kusafi kwa ktk mataifa yapatayo 22 duniani!
Kitu kilicho nishangaza ni aina ya mavazi ya wahudumu wa kike ktk ndege kuwa katka muundo wa...
Jamani leo imetokea nimemkumbuka mwana MMU maarufu wa enzi zile anaitwa @atoto jamani huyu bidada nilikuwa nampendaga tu bila sababu yaani nampenda tu simaanishi kumpenda kimapenzi japokuwa...
Kumetokea wimbi la vijana watafuta sifa na kiki hapa JF ambao wanatumia majukwaa kuandika vitu vya kijinga kwa manufaa ya kutafuta umaarufu na hao vijana ni
1.muosha rungu
2.Alonso14
Hawa vijana...
*Njia 5 za kuishi kwa furaha na wanawake.*
*1. Uwe na mwanamke anayekufanya ucheke*
*2. Uwe na mwanamke anayekupa muda wake*
*3. Uwe na mwanamke anayekujali*
*4. Uwe na mwanamke anayekupenda kwa...
katika ukuaji wangu miaka ya nyuma stori hizi zilivuma sana, sijui zilikuwa na ukweli au danganya toto tuu.
1. Nyerere alikataa kumpa Bob Marley mkono badala yake alimpa kifimbo katka sherehe za...
Kila nikiperuz JF lazma nikutane na battel zifuatazo
1. Dar es salaam vs Nairobi
2. Mwanza vs Arusha
3. Wanaume wa Dar vs wanaume wa Mikoan
4 Jitu jeusi vs Mshana jr + daby + miss natafuta + all...
Igweeee!!!
Raha ya kusoma Chuo ni kufaulu vizuri. Pamoja na Raha nyingine za Chuo lakini kufaulu ndio breki ya raha zote.
Miaka mitatu, Minne, mitano na hata Saba ya degree moja si lelemama.
Ni...
WALLET YA KIJANA WA MAREKANI
1:Visa Card
2:Driving License
3:Hela ya matumizi
WALLET YA KIJANA WA TANZANIA
1:ATM card ya NMB
2:ATM card CRDB
3:Kitambulisho cha Taifa
4:Leseni
5:Kadi ya...
Nimeamua kuokoka kwenye kanisa moja jirani na mtaani kwetu, sasa jumapili ya wiki iliyopita mchungaji alizungumzia masuala ya kuoteshwa, juzi tukiwa kwenye maombi nikatangaza nimeoteshwa mke wa...
Sipendagi elimu mimi..!
_*Ivi aliyeanzisha Elimu alifikiria nini jamani*_
_*Maana nakumbuka Yesu alikuwa na wanafunzi wake lakini sikuona ata sehemu moja anawambia Kesho TEST
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Polen na kaz wapendwa
Ingawa nimezoea kuwa nawazodoa na kuwatupia madongo ya hapa na pale lakin leo naomba mnisaidie iv...
Week ijayo nikiwa nafikisha miaka kadhaa ya ndoa yangu ,kiukweli nimewamiss sana wadada club.
Nawamiss sana asee ndoa na majukumu ya familia yamenikaba hasa hii awamu ya tano..ila nikiwa naelekea...
Hebu sikia stori za wapendanao za kushangaza kisha tuambie ipi inakuhusu au umeifurahia zaidi!!
1.mama mkwe mnoko!
Siku moja nilimtembelea mpenzi wangu nyumbani kwao,wazazi wake
Hawakuwepo...
Habari zenu Leo ni weekend.
Wengi time chill tu home wengine wameenda viwanja, wengine wana hang over za jana yaani ilimradi ni weekend. Niende kwenye mada.
Wote sisi ni one familiy hapa JF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.