"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"
Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka, Jijini Arusha, hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya...
Siku moja mume akondoka asubuhi kwenda kazini na kumuaga mke wake anaenda kazini.
Jioni akarudi akiwa na msongo wa mawazo. Mke akamuuliza kulikoni mume wangu.
Mume:- Kazini ofisi imeungua na...
Jf salaam.
Kwa namna Moja ama nyingine naweza kukukwaza ama ukaingia kwenye Moja ya watu Hawa nitakao wataja hapa. Mimi ni binadamu kama binadamu wengine napenda na kusitopenda pia.
Kwahiyo kama...
1. Box Jelly Fish
2. King Cobra
3. Blue Ringed Octopus
4. Marbled Cone Snail
5. Stone Fish
6. Death Stalker Scorpion
7. Inland Taipan
8. Brazilian Wandering Spider...
Johnson Mshana (28) amehukumiwa miaka 25 kifungo cha nje kwa kujaribu kuvunja gereza la Halden nchini Norway ili aingie ndani.
Mshana ambaye aliachiwa huru mwezi mmoja ulipita kutoka gereza hilo...
Kwetu bwana , kulikuwaga na pikipiki ya babu, miaka hiyo mzee alishindwa kulitengeneza, likawa limekaa tu, sasa linalazwa ukumbini.
Asubuhi mnaamka nalo kulitoa kwanza liwapishe, jioni ndo kitu...
my name is Yohana, a young man and I am twenty one years old. I have many big dreams in my life, although my dreams are many, but they are all about my success when I was very young.
At the age...
Katika Kila mtaa hua Kuna mtu mmoja ke au me anakua na umaarufu Mkubwa Sana na nguvu ya ushawishi either kwa mabaya au mazuri. Anaweza kua mcheza mpira, kibaka, Malaya, bondia, mwanasiasa...
Habari za mwisho wa weekend wanajamii.
Naamini kila kila mtu ana aina yake ya starehe,lakini hapa nimejikita zaidi kwenye starehe yenye kuhusisha Pombe.
Je,kwa Mara ya kwanza ulivyotumia...
Binaadamu tunatofautiana katika uendeshaji wa maisha yetu ya kila siku
Kwa Upande wa usafi wa mashuka, wapo wanaolalia siku moja , wengine kila baada ya wiki , wengine wanaenda mbali zaidi mpaka...
Habari za jioni wanaJF, kwanza nitangulie kusema sina mgogoro wowote wa kifamilia, kuhusu kazi sio mwajiriwa ni mchakalikaji wa mtaani, sina madeni ya kutisha ambayo may be yanaweza kunipa stress...
Wakuu, poleni na masuala ya hii nchi isiyokua na kiongozi.
Jana kwenye mishe zangu, nikaingia Baa flani nikapiga valuer zangu mbili then akapita muuza mayai ya kuchemsha nikanunua mawili nikala...