JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Special day, special person and special celebration. May all your dreams and desires come true in this coming year. Happy birthday my love jamani mnisaidie kumuwish my sweetheart Clkey...
3 Reactions
61 Replies
3K Views
Imebidi niwaamshe watu wote leo kwa sababu Majogoo yote jana Siku Kuu yameliwa yakaisha!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi, kwenda kufungua mlango
akamkuta jamaa kalewa sana akiwa kasimama mlangoni kwao
 JAMAA: Nini tena...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
0 Reactions
12 Replies
2K Views
UTAJUAJE KAMA WEWE NI MUHENGA? 1. Kama ulikata daftari mara mbili. Kipande kimoja ukaacha nyumbani na kingine ukaenda nacho shule. Wewe ni muhenga. 2. Kama ulitumia kipande cha kandambili kama...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni katika kutambua na kuenzi Kazi nzuri inayozingatia huduma bora, Wakati na Uaminifu mkubwa. Watanzania jijini Dar es salaam hatimae waamua kuupa Mtaa jina la Dalali mzoefu na wa siku nyingi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
NAFASI ZA KAZI MISRI صشدتزب لنسفسنءنيعذ لسعغثايتس غصتنسهاصرسس ت2تص7صهنثتصاغس تضيعتستس نستاصغسغاساا هشتتصغسااصساسغصاااسس عتساااسازساسعستتتتت رص7ثرغ عقعقعثعصخضتا ليعسرس7سسخن1 صس8هثطتظتصصشغصا صيق...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Nilisoma vitabu vya historia, kutokana na medical technology ya wakati huo, vifo kutokana na TB, malaria na magonjwa ambukizi mengine vilikuwa ni vingi sana. Wa missionary waliokuja kueneza dini...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wana ndugu kwa yeyote anajua jinsi ya kuhack hili game naomba anielekeze maana nimejaribu nimeshindwa linaitwa brother in arms 3 son of war
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima kwenu waungwana. Nina huyu jirani yangu ambaye hatuna mazowea sana,ni mwanaume. Shida yangu ni kuwa ni mlevi hatari. Kama angekuwa hapigi mikelele usiku wala nisingejali. Lakini akilewa...
2 Reactions
76 Replies
7K Views
kuowa mwanamke asiyekwenda shule raha sana ukitaka kwenda kwa mchepuko wako maongezi yanakuwa hivi mke- safari ya wapi mume wamgu mume- naenda mwanza kubadilisha profile picture mke wangu mke-...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mzee alienda kanisani kubatizwa alipotoka kwenye maji padri akamwambia “Sasa wewe ni kiumbe kipya,usinywe tena pombe na utaitwa Paul”. Alipofika nyumbani Paul akafungua friji akatoa bia ya Tusker...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
*Hakuna kitu kilikua kinauma kama umetoka darasani kwako kwenda kufata umbea darasa jingine alafu unaskia kauli hii* *""haya wote laleni chini""*
3 Reactions
3 Replies
1K Views
JAMAA ALIMPENDA BINTI WA KILOKOLE JINSI YA KUMWINGIA IKAWA NGUMU AKAAMUA ASOME VIFUNGU VINGI VYA BIBLIA ILI AMKAMATE KIRAHISI MAZUNGUMZO YAO YALIKUWA HIVI:: Mwanaume: sister mambo Sister: mambo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
*Kuna aina mpya ya pilau imeingia, inaitwa pilau makinikia maana yake nyama unazitafuta kwa mbali sana na wakati mwingine usiambulie kabisa, chondechonde wenye mpango wa kutualika kwenye idd...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
*Kuna Mkaka anazunguka Mtaani anatafuta watu 17 wa kuangalia nae movie... Sababu iyo movie imeandikwa 18 and above...*...
11 Reactions
11 Replies
2K Views
Wapendwa Karibuni pilau ya Idd Kwamtogole kuanzia saa a saba mchana.
10 Reactions
55 Replies
3K Views
Kifo ni pale unapopangiwa ukawe kiongozi KIBITI [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za mihangaiko ya kazi wana JF, Bila kupoteza muda ngoja niende direct kwenye mada iliyonileta humu. Nina miezi michache sasa nipo nchini Uganda kikazi, lakini imekuwa vigumu sana kukutana...
0 Reactions
10 Replies
913 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…