JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama haujawahi isoma Namba njoo tusome hapa, Unachotakiwa ni kuendeleza namba aliyoishia mwenzako ili tuone tutazisoma mpaka ngapi? Mfano kama mwenzio kasema moja wew 2 na kuendelea Karibuni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana Chit chat. Leo nimepewa heshima kubwa na Host wa kipindi hiki Zinduna ili kuendesha kipindi cha leo ambacho kina mgeni machachari na mwenye changamoto humu Chit chat na si mwingine...
12 Reactions
791 Replies
36K Views
Huyu jamaa najaribu kumsoma simuelewi kabisa..sielew anakubali chama gani,dini yake siielew. Maana kila anavhokiandika kaegemei upende fulani yani ukisoma maandiko yake na coments unaweza amini...
0 Reactions
9 Replies
771 Views
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wanapigana ,wanauwana ,wanachinjana sababu ya tonge la ugali.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ingefaa leo iwe siku maalum kwa Yule Bwana kujimwaya mwaya na baba yake humo sosho mediani kama walivyofanya wengi. Hivi hamna popote mzee Albert Bashite amewekwa na maneno "Happy Fathers' Day"...
0 Reactions
4 Replies
920 Views
*Jana nilpokua mahakani nikasikia Hakimu akisema "ORDER ORDER" *mimi na kiherehere changu nikajibu "Supu,Chapati 2,Maziwa na Ndizi 3" *Hapa nilipo nimewekwa kwenye Chumba kina giza kweli tang jana...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi wadada? Kwanini msiwe mnanikenulia na kunipa hiii!!!! nikiwa kwa miguu tu? Mna nini wadada? Please naitaji smaile zenu pia nikiwa kwa miguu Please Ni matarajio yangu kuwa ombi langu litakubaliwa
0 Reactions
12 Replies
1K Views
*Sasa hivi ukitaka kupiga sound demu unatumia maneno haya yanayokwenda na wakati* vita ya kutazama uzuri wako haijawahi kuziacha hisia zangu salama . nipe makinikia ya moyo wako. Naahidi kulipa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
*Sasa hivi ukitaka kupiga sound demu unatumia maneno haya yanayokwenda na wakati* vita ya kutazama uzuri wako haijawahi kuziacha hisia zangu salama . nipe makinikia ya moyo wako. Naahidi kulipa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jana mida ya wakat Niko geto nikaskia sauti ya mahaba chumba cha jirani. Sikuwa na wasiwasi kwan nilizan jiran ana enjoy makinikia yake. Basi mida ya jioni Naona jamaa lingine linatoka chumba...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Marekani-siasa,muziki,teknolojia na maendeleo Uingereza-mpira,masumbwi,starehe China-kuzaliana,teknolojia,maendeleo Japan-maendeleo,teknolojia, viwanda...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wanaume tupunguze ukali kwa wake zetu ipo siku ukalia kama rafiki yangu huyu yaliyomkuta jamaaa alikuwa mkali sana kwa mkewe kiasi kwamba kosa dogo tu anashushiwa kipigo hatariiii jamaa juzi...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Mda wafutar mimi ndio napata hivi karibuni tujumuike
0 Reactions
8 Replies
698 Views
*WIFE: Sweety, how many women have you slept with after we got married?* *HUSBAND: (quiet)* *WIFE: (10 minutes later) Sweety, I asked you a question* *!* *HUSBAND: (Quiet)* *WIFE: (15 minutes...
1 Reactions
4 Replies
792 Views
Dada mmoja alichoshwa na vituko vya mumewe akamwambia "bora ningeolewa na shetani kuliko wewe" Mumewe akajibu "dini haziruhusu mtu kuolewa na ndugu yake"...[emoji1] [emoji1] [emoji1]
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Madikteta katika dunia hii ya tatu na hasa Africa yetu Itele Mungu watu ,Bokasa ,Idd ,Mobutu Mizinga nayo mitutu Haitoi risasi inatoa marais walio madikteta.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wandugu kwa wale waliooa na wake zao wako available embu jaribuni kunywa supu ya maboga madogo kama vibuyu Bila kutoa mbegu zake. Nakuambia kama mama hayupo house girl anaweza kufanywa kitoweo...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
Marahabaaa...... Nimesubiri weeee nione nani atajipendekeza lakini hola! Imekula kwangu mazima. Anyway nimetoka mbali wakulu Katoto katundu.... Kijana mtukutu, mbunifu, mkaguzi na...
20 Reactions
197 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…