JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Leo kazaliwa mwanamke mrembo na mwenye kujiheshimu. Heri ya siku ya kuzaliwa rafiki
13 Reactions
819 Replies
31K Views
Katika kutafta fadhila za mwezi huu,nimeona heri ni waalike mje kula daku,kutokana na ftari wengi washajitolea kufutulisha ,acha na mie niwalishe Daku ,kwa mwenye kuweza karibu mida Sita usiku...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Katika pita pita zangu humu ndani Ni metokea kuona watu wenye ID za ajabu sijapata kuona hizi ni baadhi...! . 1.Kazitunayo 2.sigara kali 3.tamuu 4.simba.asiyefugika 5.pumzi haiuzwii 6.Ngozi Mbili...
7 Reactions
145 Replies
12K Views
Paul: Do u drink beer? Patrick: Oh yes. Paul: How many bottles per day? Patrick: 5 Paul: When did u start drinking beer? Patrick: 18yrs back. Paul: How much is a bottle? Patrick: 3000/- Paul...
0 Reactions
4 Replies
861 Views
Dah sijui ndio futari hiyo kwenye poti jamani...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hakuna kitu kinacho tufurahisha sisi wanaume kama kuwa na demu mpya chumbani. Tena huyo demu akwambie "hebu funga huo mlango vizur bhn" yaani unaweza kuvunjika mguu kwa furaha.. Cjui nyie wanawake...
0 Reactions
12 Replies
987 Views
Kipindi kile Mwakyembe alipokuwa waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Phone Book yake ilikuwa na majina haya Eng: Mwakitalu Dr: Lusingo Prof:Ambalisye Eng: Mushi Contractor Mabula n.k...
9 Reactions
22 Replies
4K Views
Mimi ni mgeni katika mkoa mmojawapo hapa kanda ya ziwa sijachunguza vizuri jinsi hawa watu walivyo si unajua macho hayana pazia,nikaona demu mkalii yaan yupo vizuri chocolate mrefu mnene.si...
0 Reactions
4 Replies
974 Views
1. Raise a child for 25 yrs then find out that he's/she's not yours. 2. Work hard for the whole a year and go to ATM and be robbed. 3. After keeping your virginity for more than 25yrs and...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Kuna tukio ambalo liliwahi kunitokea nimelikumbuka ghafla Kuna mahala palitokea msiba na nilienda kuhudhuria msiba huo kama mnavyofahamu tulilala pale msibani ili kesho yake tuzike na kufuatilia...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa na poleni na mihangaiko. Jumamosi iliopita nilienda kwa rafiki yangu na nikakuta wanauza vipaka vyenye takribani wiki mbili toka vizaliwe, Vile vipata vina rangi nzuri...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Awamu hii tunajifunza mengi sana!! Viongozi wetu ukiwauliza hiki wanakujibu kile!! Kwa mfano waziri wa viwanda ukimuuliza maendeleo ya viwanda walivyoahidi anakujibu vyungu vya kukaangia karanga...
11 Reactions
106 Replies
9K Views
Chit chat... Tumezoea humu jf sio kam facebook au insta kila kitu ndiyooo kam watu wanafahamiana,huwa hawaaibishani just like kam bungeni.ila sisi huku jf huwa watu,wanajibu comments hovyo wengine...
0 Reactions
37 Replies
2K Views
Unaweza ukakopa pesa ya ada ya mtoto, ukampa mkeo ili akalipe kisha ye anakwenda kununua wigi. Akili zao wanzijua wenyewe tu.
1 Reactions
15 Replies
1K Views
I salute u all!!!? back to topic jamani leo nilikua busy na babe wangu kwa muda, hatukutaka usumbufu kwa namna moja au nyinngine, ukizingatia leo cku yake muhim ya kumbukumbu ya kuzaliwa...
4 Reactions
56 Replies
3K Views
Kama mada inavyo jieleza kuna ubaya wowote mwanaume kupewa pesa za kutumia na mwanamke. Maana napata wakati mgumu kuchukua pesa anayo nipa dem wangu ingawa napenda pesa..naogopa kutangazwa bure..
0 Reactions
26 Replies
2K Views
PUMZIKO LYRICS BY LADY JAY DEE Mwambie wataka kuja Huru apate kuachia Maamuzi yako upange Bila kuwa wake upande Huoni we wateseka? Kwake u kama mateka Wahitaji pumziko Nipo kwa ajili yako Njoo...
3 Reactions
216 Replies
14K Views
*Kumbe bangi haina madhara...nimetoka kuvuta pafu moja nipo fresh kabisa bila tatizo..saivi nimekaa juu ya tv naangalia makochi* [emoji4][emoji4]
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom