akiwa na furaha analewa
akiwa na huzuni analewa
akipata pesa analewa
akikosa pesa analewa
akiwa na mawazo analewa
asipokuwa na mawazo analewa
akiwa na matatizo analewa
asipokuwa na matatizo...
Jibu ni NDIYO!
Kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi uliofanywa hv karibuni nchini Usa & Great britain, and then kuripotiwa na Jarida la New study, umebainisha kua wanwke wenye matiti makubwa...
haraka haraka haina baraka
ngoja ngoja huumiza matumbo
mbona vigeugeu nyie :confused:
hivi hawa wahenga walikuwa wanafikilia kupitia wapi??
#WapostPumba
Hii inafuatia mfanyakazi wetu kustaafu kwa hiyari hivyo inabidi tujaze nafasi
Nafasi: Gavana
Elimu: Kujua KUSOMA NA KUANDIKA tu. Management haitajihusisha na kutaka kujua una vyeti gani...
Habari wandugu.
Kuna hili jambo ambalo kwa mtazamo wangu nimeona ni la muhimu kushirikishana kutokana kuwa kwa sasa limeonekana kuwa ni tatizo komavu kwenye jamii zetu.
Tujifunze kuchukuliana...
Haya makampuni huwa yanagezana promo, mmoja akianzisha halichachi mwingine utasikia haliishi, mwingine utasikia hatupimi,
sasa tayari mmoja kaanzisha jaza ujazwe, si ajabu zantel kule zenji...
ukidondosha kioo cha kujitazamia kikapasuka utapata miaka saba ya mikosi na mabalaa
ukikutana na paka mweusi njiani ni mkosi
ukilala na viatu ndani huku kimejigeuza juu chini ni ishara ya...
Waungwana hamjambo!
Najitokeza leo kuwatangazia kuwa baada ya mfungo wa kwaresma, mimi Tutor B nitafunga ndoa na Chikira Mtabari, kwa wale walio tayari kushiriki kwenye hafla ya kipekee tafadhali...
Chizi kaanguka toka kwenye gorofa
fasta watu wakamfuata kumsaidia
wakamuuliza:- VIPI IMEKUAJE?
Chizi akajibu:- HATA SIJUI NA MIE NDO NAFIKA SASA HIVI...
Habari
Kwa nini mnabadili ID? Leo nimewakamata, na ntaanza kutumbua mmoja baada ya mwingine
1. Kuna huyu espy nampa siku moja aeleze kwa nini anatuchezea? nimemdaka red handed, na kinachofuata...
Mimi ni mwekezaji mwenye nia hasa ,ya kutaka kuekeza karoho kangu ,mahali ambapo katakuwa safe ,ili kujinusuru na rabsha rabsha za jiji hili la daslamu na milio mingi ya risasi inayorindima kila...
*MAMBO YA FEDHA*
*Kuna jamaa alipewa shilingi 3987698237982...acha uvivu, najua hujasoma ni kiasi gani hicho cha fedha na mbaya zaidi hujagundua kwamba katikati ya namba hizo kuna herufi T...safi...
Wewe mdada mrembo ulikuwa na Ishu zako za maana tu,au ulikuwa na ajira yako ya maana tu Ingawa siku hizi mara chache sana kukuta mdada amefulia sijui kwa sababu ile elimu ya Ujasiriamali...
Wakuu wengi wetu hatujui historia ya koo zetu Na namna tulivyokuja kuzaliwa,wengi wetu huishia kumjua babu Ana bibi tu,basi Leo tudadavue
Asili ya koo zetu,
Maana tusipo Fanya hivyo ni rahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.