JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Amenuna hadi mdomo umepinda jamani..
3 Reactions
29 Replies
3K Views
japo kila mtu yupo huru kuanzisha thread humu wakati wowote naomba tufanye kitu kimoja hapa tutapost mambo mbalimbali madogo yanayotokea majumbani kwetu,mfano chakula,sabuni za kufulia,dawa nzuri...
7 Reactions
36 Replies
3K Views
nimekutana na polisi wameniuliza kwanini natembea usiku nikawaambia sasa mnataka niogelee?........saiz nipo kwenye difenda nahisi wananipeleka home...........good night fellas #WapostPumba
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanyama wangekuwa na WHAT'S UP. Status zingekuwa: MENDE: "nimekoswa na guu la mama mwenye Nyumba, maisha yangu mashakani, why always me???? " PANYA: "nimekula nguo lenye pafyumu, nasikiaje kiu...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wana jf, kuna kitu kinanikwaza na kunipa shauku ya kujua. nimezaliwa kwenye jamii ya kitanzania..nimekulia mji wa dar na elimu yangu nimeipata hapahapa.katika malezi yangu haya nimeshuhudia...
1 Reactions
7 Replies
879 Views
1. Mgagaa na upwa hali wali mkavu 2. Asiye na mwana,aeleke jiwe 3. Zimwi likujualo halikuli likakwisha 4. Kikulacho kunguoni mwake 5. Mtoto akililia wembe,mpe 6. Asiyefunzwa na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
2 Reactions
7 Replies
2K Views
*[emoji23]Enzi hizo shule kuna wanafunzi walikuwa wanaandika topic kwa kalamu nyekundu, sub topic kalamu ya nyeusi, na notes kalamu ya bluu.[emoji23] Sijui mko wapi siku hizi, au mlipata kazi...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Muliosoma Shule ya Msingi Kurasini karibuni tusalimiane
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Mgonjwa: dactari nina tatizo la kusaha sahau? Dactari; Hilo tatizo limekuanza mda gani? Mgonjwa; tatizo gani.......????? [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
CHEKA KIDOGO Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana. MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za...
10 Reactions
10 Replies
3K Views
leo niliacha maji nje kwenye ndoo nilitaka kwenda kuoga, wakati nipo ndani mvua ikanyesha nikatoka nje baada ya mvua kuisha ili nikaoge nimekuta maji yangu yote yamelowa, nimekasirika kweli...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
#breaknewz Bwana Harusi Amewaacha Watu Hoi Harusini Baada Ya Kupanik Pale Wadogo Zake Wakiume Walipoenda Kumtolea Zawadi Huku Wakisindikizwa Na Wimbo Wa Msanii Wa Singeli Maarufu Kama Manfongo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za usiku mabibi na mabwana Mpaka muda huu naandika uzi huu mwenzenu sijielewiiii kabisaaaaa na nahisi nibora nijilipue mwenyewe kuliko kitendo cha kunyongwa Kwahiyo msiponiona mazima...
4 Reactions
152 Replies
10K Views
*Stress ni pale unapomwuliza mkeo kuwa hivi Huna boyfriend atukopeshe hela? Na yeye anakujibu kwani ulikuwa unataka kiasi gani nimuulizie?*⚰⚰⚰⚰" ...napita tu...
0 Reactions
1 Replies
652 Views
wahenga walisema "mwanzo mgumu" sasa ukitaka kujua kama mwanzo ni mgumu au mwepesi panda mlima kilimanjaro mpaka kwenye peak hapo ndio utajua kama mwanzo au mwisho ndiyo mgumu?? hapo ndio utajua...
0 Reactions
0 Replies
750 Views
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Happy mother's day!!! Shkamooni akina MAMA wote mliopo JF tunawapenda sana, leo kwa kuenzi siku ya kina mama duniani napenda tukumbuke mambo mawili matatu ambayo yashawah kutokd huko nyuma enzi...
5 Reactions
107 Replies
6K Views
She posted : What God has given me, no one takes away from me. I COMMENTED : Where's your virginity? She blocked me!.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom