JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wadada hebu leo naomba mnipe ufafanuzi kuhusu hii kauli yenu ya Kusema kuwa mmechezewa. Hivi kwani mkigegendwa kwenu ndo ni kuchezewa.?? Kwani hiyo kitu imeumbwa kwa kazi gani...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Jamani nisaidieni mimi nategemea kupata Kasichana humu JF...lakini kila nikaa..nashindwa kujua Hii ni ID ya mtoto wa kiume au wa kike.... Je nitumie njia gani kujua kama ni wakike au wakiume...
1 Reactions
83 Replies
4K Views
boy: naitwa Solomon girl: so boy: lomon o.O #WapostPumba
2 Reactions
16 Replies
2K Views
kumbuka jina lako la utani wanalokuita shule, nyumbani au kazini kwanini umepewa jina hilo?
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Nyie hizi mvua jamani Isije ikawa watu wengine wametangulia kwenye safina sisi hatujui tu
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimekuwa nikiwasikia baadhi ya watu wakisema hili neno la kifo cha Mende, sasa nikawa najiuliza hili neno huwa lina maana gani? CC: Asprin Kaizer, mwekundu, BAK, Ruttashobolwa, Bujibuji, Mentor...
7 Reactions
42 Replies
38K Views
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule...
22 Reactions
261 Replies
14K Views
Twiga hawa wamekuwa wakizagaa hovyo maeneo mbalimbali ya jiji.Juzi niliwaona kariakoo leo nimewaona Kino.Wiki iliyopita niliwaona wengine maeneo ya Coco beach.Na kila wanapopita nimekuwa nikisikia...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Leo tarehe 12/05 ni siku ambayo sisi member wenzenu wa jf tulizaliwa. Tunamshukuru mungu kwa kunifikisha hapa pia tunajiombea maisha marefu yenye baraka tele.
2 Reactions
19 Replies
4K Views
3 Reactions
1 Replies
604 Views
Ushawah kuvuta bangi bila kula Tupe uzoefu Mi naanza kama hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ushawahi kuvuta bangi mpaka rafiki yako anakwambia kesho harusi ya dada yake wewe...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Boy:- hallow Dem:- hellow Boy:- ivi jina lako nani vile Dem:- am miss precious A. K. A dope girl Boy:-Okay, nmekutumia 50,000 nimeona Jina tofauti ngoja nipige customer care Dem:-no no baby...
8 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna siku nilikua nasafisha masikio yangu naamin kila mtu anajua ile raha ya cotton buds mara zinapoingia kwenye sikio kuna raha fulan ambayo tunaipata ni ngumu kuelezea na shart lazima jicho...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari wanajf,Kati ya matusi ya kingereza na Kiswahili ni yapi yanaumiza pindi unapotukanwa? Je wewe unapenda kutumia matusi gani kati ya hayo apo juu?,tujuzane tafadhali.
2 Reactions
36 Replies
20K Views
mwanamke aliempenda mwanaume mwanaume mwenye hela mfuasi wa Gwajima mwanachama wa chadema #WapostPumba
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Huwa naona video za huyu jamaa mara kadhaa akihutubia(sina hakika kama ni msikitini au wapi) lakini maudhui yake huwa ni kuhamasisha ngono tu kupitia dini ya kiislamu. Nataka kujua kama jamaa ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwanza kaeni mkijua,Hakuna mwanaume aloleta mvua ,wala mwenye uwezo wa kuleta mvua ,Vitendo mnavyotufanyia kipindi hiki cha mvua kaaeni mkijua mungu anawaona ..! Mvua hizi zimetuathiri sana...
8 Reactions
62 Replies
4K Views
Habari za wakati huu great thinkers..kama ambavyo kichwa cha habar kinajieleza hapo juu..nimekuwa nikisia sikia maneno mengi watu wakimuongelea faru John.huyu faru John ni nani?nini kilimkuta??na...
0 Reactions
41 Replies
10K Views
Back
Top Bottom