Za juma pili!!!
Huku kwetu wazee tuna vijana wengi tu wenye hayo majina tena mfano huyu dogo kikwete kazaliwa mwaka mmoja baada ya mzee kikwete kuingia madarakani
Basi utasikia wazazi wao...
Utotoni Mchezo wa mieleka unapendwa sana, tupia kumbukumbu yako ya styles mbalimbali ulizozipenda kutoka kwa wanamieleka mbalimbali, Mimi naanza na;
1. Tombstone Piledriver - The Under Taker...
Babu Anawahadithia Wajukuu Zake Hadithi
Babu: Tulipokuwa Vitani Tulitekwa Na Maadui, Nusu Yetu Waliuwawa Na Nusu Nyingine Walibakwa.
Wajukuu: Babu Kwa Hiyo Wewe Ulikuwa Kundi Gani?
Babu: Nani...
*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jana nilipeleka viatu kwa fundi sasa hivi nimekutana...
*AHSANTE MWEZI APRIL*
Huu mwezi mpaka unaisha kila wiki ina sikukuu.
Kwa msingi huo siku za kazi kwa wiki zote nne ni nne tu kwa kila wiki.
1. Wiki ya Kwanza - Siku ya Ijumaa Tarehe 7 ni Karume...
Ni baati ya juu kabisa maana mimi nina kapicha kamoja tu tena ka black and white ila nyie mna
Video
Picha
Wazazi wenu tumewaweka hadi facebook
Hadi mikanda ya harusi zetu tumewawekea ...
Kati ya vitu vinavyomfurahisha mwanaume akiwa na demu mgeni chumbani ni pale demu atakaposema "kafunge kwanza mlango vizuri"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hizo mbio zake harmorapa anasubiri
PLAY BOY - 01 "Nimesema ctaki ctaki na kama hela yako sihitaji..."
"..aah Jacky kwani mi napenda hivyo..."
"mwanaume gani huna hata huruma enh..?
Nimekupa bado hutosheki tu..."
Mimi ndiye Play Boy...
Huwa nashangaa sana nikija kila jukwaa na kuta reply na views kibaooooooo.
Nikitazama marafiki zangu ninaosoma nao, wachizi maskani na ndugu zangu hakuna anayefuatilia JF.
Sikuwahi mfumania mtu...
Kati ya Vitu vinavyomfurahisha mwanaume akiwa na demu mgeni chumbani ni pale demu atakaposema " Kafunge kwanza mlango vizuri "
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo mbio zake harmorapa anasubiri
Huwa nikikaa natafakari tulipotoka nacheka sana. Shule ya msingi wadada walikuwa wababe, darasa la kwanza la Pili la tatu hivi. Niliwahi kula makofi toka kwa monitor wa kike darasa la kwanza...
KIFO NI NINI...?
KIFO NI PALE DEMU WAKO ANAPOFANYA FUJO CLUB HUKU AKIWATUKANA MABAUNSA.. KWA KUSEMA
"BEBI WANGU HATA HAWAOGOPI"
[emoji3][emoji3][emoji3]
Siku si nyingi nitasherekea siku yangu ya kuzaliwa na kuaga ujana kwa amani
Namshukuru Mwenyenzi Mungu mwingi wa huruma na Rehema kwa wema na baraka zake nyingi saana katika maisha yangu.
Siku...
habari wadau..
nakumbuka miaka ya 90 hizi story zilikuwa nyingi sana mitaani..
na wajanja wakapiga sana hela kujifanya waganga...
naona teknolojia imewaumbua...
waganga wa kienyeji mjiandae...
Faru Fausta aliyepo hifadhi ya Ngorongoroba bajeti yake ya chakula ni zaidi ya million 60 kwa mwezi. Ni sawa na kwamba Faru Fausta kila siku anatumia million 2
Kwa jinsi maisha yalivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.