Jamani msihangaike kutafuta funguo tumewaachia mlango wenu wazi maana chumba hakina chochote cha kupotea, ijapokuwa tunawashukuru mlitufaa kidogo na mvua hizi za vuli.
Wasalam
Arsenal the...
habari wanaJF
ahsante Mh Magu sasa naona tumenyooka, zamani tukikutana vijiweni utasikia yaani yule manzi kesho nampeleka beach halafu tukitoka huko nampeleka kwenye Ma cassino , yaani ni full...
NAOMBA NISEME TU KITU KIMOJA LEO.
MNIVUMILIE LAKINI NAWASAIDIA. MAANA MMEZIDI.
Kuna hii tabia Jamaa mpenzi anakuambia mamii twende out for dinner.
Sasa Dqda yangu sijui unakuwa na shida gani...
Nilikuwa nafuatilia maisha ya mrembo huyu,tangu2006,nikiwa form one,lakini hadi Leo hazeeki,naomba sasa nipenyeze hapa kuitangazia jamii f,na mumfikishie ujumbe.....Nampenda sana si kwa kutafuta...
>MWAFRIKA akienda ulaya = mkimbizi
>MZUNGU akija afrika = mtafiti
>KUNDI LA WAAFRIKA wakiwa ulaya = magaidi
>KUNDI LA WAZUNGU wakiwa afrika = wat0a misaada
>KUNDI LA WAAFRIKA katika mbuga za...
Mambo vip?Wadau katika maisha tunapitia mambo mengi hivyo wakati fulani tunatakiwa kushare uzoefu ili tuweze kupata elimu kidogo.Karibuni tushare stori ambayo huwezi kusahau hapa chini:
Habari wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea, inapendeza/ inafaa kwa shemeji alooa Dada mtu kumlisha?, kutokana na yeye masuala ya kipato chake cha kibarua kumuendea kombo , kwahiyo...
Hawa watu wapo??
1. Attention seekers.- ile watu mmetuliaa sehemu mfano kanisani mko bize na uwepo wa mungu wao wanakuja late ili muwaangalie wao wapo?? , mtu uko bize na mambo yako...
mazungumzo mafupi kuliko yote duniani ni pale unapokuwa chooni halafu anakuja mtu ghafla Na kufungua mlango
Mazungumzo Huwa hivi...
Wewe[emoji19]: EEEEEH
Aliefungua mlango[emoji15]: AAAAAH...
Reporter:Eti mh usingizi na elimu kipi bora??!
Mheshimiwa:usingizi!!
Report er:kwa nin??!
Mheshimiwa:Dr Isaac Mar alisema usipolala siku11 unakufa Ila mi sijasoma na bado ninaishi tena masaki sio...
Mwalimu wa secondary au chuo anapewa laptop.
bundle atanunua mwenyewe,:D;)
ili wakae up to date na masomo wanayofundisha,
sio kufundisha kwa syllabus ya mwaka 47,
walimu wakiwa na...
Habari zenu!
Kwa kweli unaboa, naona watangazaji wa itv kila mmoja anakuja na 'symbol' yake!
Sam Mahela hii ya kwako inaboa kama ya Georgeeèee Maratoooooo wa...
Ni ukweli usiofichika kuwa asilimia kubwa ya wanaume huvutika na wanawake wenye makalio makubwaNa kweli wapo wanawake waliojaaliwa neema ya kutosha kiasi cha kumvutia mwanaume yeyote rijaliHali...
Mara nyingi katika maisha mambo huenda mawili mawili ingawa sio lazima ila tujikite kwenye mambo mawili.....
Iwe ni maamuzi tunayofanya yanayotegemea pande mbili au vitu vinavyotekea viwili...
Hapa naomba wanajamvini nasikia jirani yangu anagombana na mke wake hapa chumbani kwao eti mwanamke anasema apelekwe kwa mtoko na baba wa nyumba anasema eti usawa huu hawezi eti mipango haijakaa...
Jaman hivi huyu mtoto wa mwanza shigongo aliwapikuje hawa watoto wa mujin clauds had akawazidi pesa na akawa juu zaidi yao na kuanza kushusha maghorofa makubwa mujin mwanza na dar
Alifanikiwa vp...
Wakuu salama kuna hawa jamaa wanajulikana Kama be like bro kwa kweli ni kili niwapo na mawazo basi husogea kutazama post zao na huwa zinafurahisha ntajitahdi kuweka picha ili tuburudike wote wana...
Nasaha za JF
Naanza na hizi, mwenye nyingine aendeleze, tujaribu kuweka zile one or two liners:
JF is never boring - The Boss
Ukikutana na Simba au Chui Porini
Bong'oa tu wote mbio kk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.