JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
"Mgonjwa kapimwa kwa X-ray ikaonekana ana mende kifuani.Mchango ukapitishwa kauza mali zake zote kaenda india kufika kule X-ray za india zikaonesha hakuna mende kifuani. KUMBE MENDE ALIKUWA NDANI...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama kichwa kisemavyo nina maombi kwa atakayetaka utani na mimi 1.naruhusu utani wa kila aina 2.hata kutukanwa poa tu 3.ila yoyote atae niita b.a.s.h.i.t.e huyo ntakufa nae [emoji1] [emoji1]...
2 Reactions
0 Replies
800 Views
*mazungumzo mafupi kuliko yote duniani ni pale unapokuwa chooni halafu anakuja mtu ghafla Na kufungua mlango* Mazungumzo Huwa hivi... Wewe[emoji19]: EEEEEH Aliefungua mlango[emoji15]: AAAAAH...
2 Reactions
1 Replies
877 Views
[emoji615]Onyo mtanzania yeyote atakaekutwa akijaribu kujiua lazima aokolewe maana sote tupo kwenye mdororo wa uchumi hakuna kutoroka [emoji38]
9 Reactions
9 Replies
1K Views
NAWAKUMBUSHA TU Yeyote anaetaka kupata mtoto 2017, Hii ndo wiki ya mwisho. Vinginevyo mtoto wako atazaliwa 2018. So ebu kuweni bize kdg[emoji12][emoji12]
1 Reactions
6 Replies
700 Views
Wakubwa shikamooni, wenzangu mambo zenu... mi ni memba mpya wa JF, naomba mnisaidie kunielekeza mambo ya muhimu humu ndani ili na mimi nisionekane mshamba... ahsanteni sana
5 Reactions
189 Replies
11K Views
Wenye uzoefu fungukeni ili nasi pia tujifunze
4 Reactions
151 Replies
18K Views
Je Wajua mazungumo MAFUPI Kuliko Yote Dunian ni pale unapokua CHOONI alaf ghafla mtu anakuja na kufungua #mlango.... Mazungumzo huwa ivi: Aliye chooni: WEWE -EEH Aliefungua mlango- AAAH au...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nakumbusha pia kuwa masela wanaweza kukuchangia pesa na vitu vingine ukihitaji lakini hakuna wa kukuchangia *NGUVU ZA KIUME* maana kila mtu ana kazi nazo na wengine wanaona hazitoshi, sasa hizo za...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
mazungumzo mafupi kuliko yote duniani ni pale unapokuwa chooni halafu anakuja mtu ghafla Na kufungua mlango Mazungumzo Huwa hivi... Wewe: EEEEEH [emoji15] [emoji15] Aliefungua mlango: AAAAAH...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna taarifa nimezipata hivi punde kuhusu mwenzetu kipenzi PakaJimmy. Kwa mujibu wa rafiki yake wa karibu afahamikae kama Sofapaka ndie alienipa taarifa hizi,nadhani by then kabla hawajahama...
12 Reactions
136 Replies
9K Views
Gari letu, Dereva haaminiki! (Maajabu) Abiria wanajua kuliongoza kuliko dereva (hawaruhusiwi) Kupanda abiria kachagua mwenyewe! Safari imekua ya karaha! kushuka hakuna ashukae kwakweli abiria...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dear members. Muslims and Christians It's Easter season dears! Let's put aside if not forget at all our religious differences Sote ni wamoja tunamwomba Mungu mmoja na ndiomana ikiwa sikukuu za...
12 Reactions
165 Replies
8K Views
Ndoto itatimia? Maana nimekuwa nikimkubali kweli jamaa
1 Reactions
18 Replies
3K Views
LADIES!!!! WHY SPEND LIPSTICK WORTH 20K ON LIPS THAT CANNOT EVEN PRONOUNCE "ECCLESIASTES"....... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
0 Reactions
2 Replies
880 Views
Huu mwezi mpaka unaisha kila wiki ina sikukuu ...so in april siku za class ni nne tuh kila wiki mwezi mzima wiki hii....ijumaa.7 karume day Next wiki...ijumaa 14 Good friday Next of next...
4 Reactions
5 Replies
968 Views
Wife:look at that drunk guy! Husband:who is he? Wife:10 years back he proposed me & i rejected him. Husband:oh My GOD . he's still cerebrating
4 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwaka 2013 Mwaka 2017
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom