Jamani si mzaha, mimi hadi umri huu nilikuwa sijawahi kusikia mwanamke akiachia ushuzi wa sauti (kujamba?:), sana sana ni hali ya hewa tu kuhisi imebadilika hasa nilipokuwa na mwanamke kwa muda...
Kiboko wa mabishoo wote mjini amedai yuko kwenye hatua za mwisho kuzindua website yake ambayo itakuwa inauza kazi zake za sanaa, hayo yote amesema jana alipokuwa akifanya mazungumzo na DSM online...
Maana dah sio kwa vitu wanavyo tuletea hawa jamaa...
Jana liquid tulikoma.. Kama tuna hudumiwa na air hostess kumbe vijana wa..... Hatarii
Ila haina hang over wala harufu na unalewa safi tuu...
Serikali ijitokeze na kusema kama wanaomshikilia Roma ni majambazi au vyombo vya serikali.
Wasanii mnapaswa kuwa mbele katika hili.
Ikifika kesho hatujui alipo Roma ni marufuku radio au Tv...
Ni miezi kadhaa tunachangia uwepo wa jukwaa hili kwa post na michango mbalimbali. ..umefika muda Mtulipe mshahara [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hasa makapuku...
Huko kwenu Wapo!!!???? Njoo tuimbe pamoja... Wapooo / hawapooooo!!
1. Attention seekers.- ile watu mmetuliaa sehemu mfano kanisani mko bize na uwepo wa mungu wao wanakuja late ili muwaangalie...
Juzi jumatatu nilisafiri kutoka dar kuja mwanza na niliweka bandiko kuwataka wadada Wa Mwanza wajitokeze hii nifursa adhimu ili tule bata nawakaribisha tena enyi ndugu Wa bashite njooni sasa nipo...
Habari wanajamvi,
Kwakweli maisha ni kupanda na kushuka, usishangane tajiri aliyeko jirani mwako kaporomoka kiuchumi, hali ya unga wa sembe nchini imepanda ghafla kwa takribani siku 3 tu , kutoka...
Mgonjwa kapimwa kwa X-ray ikaonekana ana mende kifuani.Mchango ukapitishwa kauza mali zake zote kaenda india kufika kule X-ray za india zikaonesha hakuna mende kifuani.
KUMBE MENDE ALIKUWA NDANI...
Pale ulipotarajia kitu halafu ukakutana na kitu OPPOSITE, Lazima Jicho likutoke tu. Mmekaa kwenye Umbea Corner mkadanganyana "Oh wanaume wembamba hawana kitu kabisa shosti tafuta mnene mnene...
[emoji121]
Wakuu,
Leo nimeamka zangu mishale ya saa kumi na mbili asubuhi nikapanda bodaboda kutoka bunju_b hadi mwenge kwa bro.
Kisha nikamwambia yule bodaboda tuelekee ubungo_msewe kwa dada...
Ebhanah hii ni hatari,leo nkasema nisogee mkoa kidogo nikawacheki ndugu,jamaa na marafiki,ila kufika ubungo yani hawa wapiga debe ni kero unagombaniwa kama mpira wa kona
Dah yani kero kinoma!!!!
Kwamfano unadem ambaye unamkubali saaaana na umeisha jidhatiti kuwa ndo mwanamke ambaye utaishi nae, love ipo public kila mmoja anaelewa uhusiano wenu hadi imefikia hatua kutupia picha zake...
Jamaa 1 alikuwa amekaa zake sebuleni anasoma gazet, ghafla akapigwa kwa frampen uson na mkewe!
JAMAA: VP tena darling kulikon?
MKE: kwenye surual yako wakat najiandaa kuifua nikakuta kikaratas...
Goodmorning ladies and gentlemen
Wakuu mwenzenu huwa na katabia kuwa ikitokea serikali ikafanya kitu kikaniudhi huwa najikumbusha makosa niliyofanya 2015 kwa namna flani. Sasa mida hii nipo kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.