JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
ama kweli Mungu yupo na huwa anajibu maombi ebu angali hiyo picha uone maombi aliyoombewa Paul C. Makonda. maombi hayo aliombewa na Christina Shusho kuwa ndani ya mwaka huu Paul C. Makonda atapata...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Kama na wewe umechoka na drama za kila siku na unaona bora liende tukutane hapa Nukuu Hela ya bando nimetafuta kwa jasho langu na simu pia tusipangiane cha kupost. Bora liende tu. ZERO IQ
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Unashangaa nini? Habari ndo hiyo.
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Kama umezoea kunywa castle lager tano usije ukajaribu Balimi....ni bei rahisi lakin alc yake ni 5.8...hatari sana.
2 Reactions
24 Replies
8K Views
Naona Niffah kawa banned. To be honest nitammis sana humu ndani. Napenda sana michango yake kwenye mada kadha wa kadha. Pole sana Niffah
3 Reactions
134 Replies
11K Views
Napenda kuchukua fursa hii kumtakia heri ya kuzaliwa Mzee kijana mtanashati kutoka ushirombo, anaefahamika humu jukwaani kwa jina maarufu Ushimen MUNGU MWENYEZI AKUJAALIE UMRI MREFU WENYE...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
habari wa pendwa,kama kichwa cha habari kinavyosema tujuzane
0 Reactions
11 Replies
1K Views
*Ex wangu kanipigia simu ety nimpelekee EARPHONE zake* *Nimempelekea na mimi nikachukua Simu niliyomnunulia Nimeacha ana connect EARPHONE zake kwenye redio sijui zilikubali* Spendagi ujinga...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Napitapita humu MITANDAONI naona marafiki zangu wote wanaishi MIJINI (ARUSHA, DAR, ,MWANZA na TANGA) ◆Hata wale waliopewa MIMBA sekondari wakaacha SHULE wakiwa Form 1C wanajinasibu kuwa ni...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Sidhani kama nitakuwa mwizi peke yangu humu, Nakumbukuka mara ya kwanza kuiba ilikuwa shilingi 10 miaka ya 90s kwenye chenji za mboga, wizi wangu ulifikia stage hadi nikachonga Funguo za vyumba...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Nimeshangaa mwanafunzi nadhani darasa la 5 au 6 anamwambia mama mkaanga maandazi na vitumbua "naomba vibashite vitano" Nilipoulizia nikaambiwa ni vitumbua. Hata chapati na maandazi wanaita hivyo...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Ningejiuzuru... Mtoto wa darasa la 4 kwenye Sunday school, alipo ambiwa atunge sentensi kwa kuanza na maneno Ningekua Rais...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ngwajima Bashite Nape JP Mwekiembe Policcm ..... ... . Tujulishane mapema kabla sijakata tiketi
0 Reactions
1 Replies
642 Views
PhD ni Doctor of Philosophy Lakini PhD nyingine ni "Permanent Head Demage" maana ukimwona yule wa cuf na wale walioteuana wa chama cha mbogamboga utakubali tuu Nawaza kwa nguvu
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Heshima kwenu Wakuu. Nyeti zetu ni moja ya viungo muhimu sana katika miili yetu. Ndizo hututambulisha kwa jinsia. Pamoja na umuhimu huo, watu wamekuwa hawazijali na kuzitunza ipasavyo maeneo hayo...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Leo nimeingia mgahawa mmoja nikauliza bei ya chakula: Mimi: naomba chakula cha mia 5. Mhudumu: hamna chakula cha mia 5. Mimi: basi poa ntarudi kikipatikana. Mhudumu: kuna cha kuanzia elfu 2...
0 Reactions
0 Replies
785 Views
PAPER LA HISTORY 2 MWAKA 2020 LIMELEAK °°°°°°°°°°°°°°°°°°°°° HISTORY EXAM,MAY 2020 1.Account for the emergence of lip confrontations during the first quarter of 2017 between Bashite and...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Huyu mtangazaji wa ITV namkubali sana ninazawadi yake. Mwenye number yake please, naomba mnisaidie kuipata. Asanteni.
1 Reactions
67 Replies
33K Views
Back
Top Bottom