JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wadau NAOMBA kufahamishwa ni DUKA GANI DAR wanauza CARRIER za Aina hii hapo Chini Msaada tafadhali. Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
752 Views
Habari za jumapili. Ninatamani zaidi kufahamu kama upo uhusiano wa Moja Kwa moja kati ya kuongezeka Kwa utumiaji wa mafuta (petroleum) katika gari na muda uliotumia plug. Pia muda sahihi wa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada na maarifa najiuliza sipati jibu kwanin Rav 4 old model ya body kubwa na kipis zote zimewekwa engine sawa japo moja ni kubwa nyingine ni ndogo kimaumbo
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu, Toyota Probox hii ina kama mwaka mmoja toka niingize nchini toka Japan. Imekuwa ikifanya vizuri toka nimeinunua ila hivi karibuni, ilianza kupunguza nguvu, haiendi zaidi ya 80KM/HR...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Uzalishaji wake ulianza 2005 Hadi 2009 si mwingine mbali ni mnyama wa barabarani nissani fuga GT 450 popote apitapo maajabu yake yanasimuliwa mpaka Kwa majirani huku kukiwa na matokeo matatu GT...
14 Reactions
259 Replies
20K Views
10 Reactions
88 Replies
8K Views
Niko katika research yangu ya gari nzuri kwa sababu si muda mwingi nitamiliki. Nimeitazama hii Mitsubishi Outlander imenivutia kimuonekano na uwezo wake wa kubeba raia kwa maana ya wingi wa seat...
2 Reactions
20 Replies
9K Views
Wataalamu wa magari naombeni msaada nimeipenda hii gari pia ni chaguo langu naomba msaada wa kujua changamoto zake na faida zake please Nawasilisha
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Wadau Watalaamu wa Magari naomba kuuliza Je Kwa Gari aina ya Harrier inaweza kutumia lita ngapi za Mafuta ya Petrol kutoka Dar mpaka Sumbawanga Umbali wa Kilomita 1250? Sent from my SM-J600F...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu kioo cha mbele kina kama ukungu hivi, naomba msaada nijue dawa ya kusafishia..
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wakuu, Samahani naomba kujuzwa kuhusu lifuatalo. Kuna gari nimeiona nimependezwa nayo kutoka kwenye site ya trade car view. Sasa nimeona hapo total cost ni kama inavoonesha hapo kwa...
1 Reactions
41 Replies
41K Views
Wakuu naomba mwenye uzoefu Basi gani ni zuri la kwenda Babati kutoka Dar na nauri ni sh ngapi natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ninakuja jukwaani kwenu wazoefu nikiomba mnisaidie kujua changamoto za gari tajwa hapo juu. Natanguliza shukrani
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nakujuza Ili siku nyingine ukiona hii usitoe macho kama Jamaa wa Masters aliyeapply kazi ya sensa na akakosa, kabla hatujafika mbali unatakiwa kujua unleaded petrol ni petrol isiyokuwa na kiambata...
26 Reactions
27 Replies
6K Views
Wakuu, Baada ya kuhanya sana huku na kule na kuona mipango ya kuweza kujenga mjini kabla ya kununua usafiri inazidi kwenda kombo kwa upande wangu, Nataka nijilipue tu ninunue gari ya watu wa...
2 Reactions
33 Replies
10K Views
Wakuu nataka kununua mkweche na mm nimechoka kugongea magari ya watu ila budget yangu naona ni vizuri nikamiliki corolla sasa nimekuja kwenye mnipe ushauri kwamba kati corrolla X na Corrolla 111...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba kufahamu Kwa wazoefu bei ya engine ndogo ya gari cc 1300 ya kwenye Corolla ikoje Kwa bongo.
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwenye pita pita zangu nimekutana na gari ya kwanza kabisa kusajiliwa kwa hapa nyumbani.. Haraka haraka inaonekana hii gari ni ya Mchaga.. AC ya kujaza.. Spare Tyre na spanner havipo.. Gear...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…