JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Naombeni kuuliza mafundi eti BETRI ya gari mdogo mfano RAV4 unaweza kuwasha gari Kama Hilux inayotumia BETRI ya N70?
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenye experience ya Kusafiri na Air Tanzania kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi Kenya, Naona utofauti wa Nauli kati ya TWIGA BASIC na TWIGA BUSINESS ni MKUBWA SANA. Naomba Kujua kuna nini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wajuba poleni na majukumu ya kuendelea kulijenga taifa letu wengi wetu tunapitia changamoto za kukatika umeme,maji na baadhi ya bidhaa kupanda wenye mamlaka huu mzigo tumewatwisha ninyi Nije...
1 Reactions
1 Replies
786 Views
Wadau naomba Msaada.Nataka kununua Harrier 240G ya Mwaka 2006/2007 he nitumie Mbinu gani kupata Gari nzuri na IMARA? Je, kampuni gani hapa Dar inaagiza Magari hayo Imara?
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Naipenda sana hii gari japo bongo sizioni. Wajuzi wa hizi kazi hii gari inachangamoto gani? Hasa hizi za (2012 - 2016)
2 Reactions
6 Replies
6K Views
Nina Toyota Mark X Grx120 ya 2008 nilinunua 2019 mpaka leo ninavyoandika nishabadilisha betri 4 N50 dry cell 3 na ya maji 1 zote zimekufa , Sijajua sababu mpaka sasa naomba msaada kwa anayeweza...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Kuna mtu kaniomba ushauri hapa kwamba ana milioni 35 anahitaji gari nzuri ila isiwe vanguard ama harrier. Mimi sio mtaalam wa magari, naomba mnaojua magari mnipe mawazo nikampe mshikaji. Ahsante.
4 Reactions
57 Replies
8K Views
Mzuka wanajamvi! Range Rover 2022 itakuwa ya aina yake. Japo kimuonekano siyo tofauti Sana na Range Rover za awali kuna maboresho ya taa za nyuma ambazo zitazitofautisha na Range Rover...
12 Reactions
52 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu, Natumaini ni wazima vinginevyo pole kwa changamoto mnazopitia. Naomba kufahamu soko la kozi ya diploma ya automobile engineering kwa upande wa kujiajiri, vipi ni fani yenye...
1 Reactions
0 Replies
579 Views
ECU
Naomba kujua ECU/ECM zinaweza kuwa reprogrammed
1 Reactions
10 Replies
556 Views
Mambo vp wakuu, Hivi kwa hapa Dar es Salaam wapi nitapata huduma ya fuel injector cleaning ? Najua mafundi wengi wanaweza kusafisha fuel injector lakini naulizia sehemu ambayo wanasafisha fuel...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Poleni na hongereni kwa majukumu yote, Naomba kuuliza mwenye kujua bei za makampuni yanayouza trekta za kilimo majembe na hallow kwa cash na mkopo gharama zake kwa ujumla kuanzia hp 50 na zaidi...
1 Reactions
5 Replies
25K Views
Wakuu habari, kuna jamaa anafanya biashara ya kuagiza magari, ananiambia hummer h3 inauzwa kwa milioni 70 yaani hapo gharama zote mpaka ushuru na kila KITU,Hivi hizi ni habari sahihi kweli? Haya...
5 Reactions
230 Replies
78K Views
Nikadude kanacho fanana kama plug ya piki piki tu, kanafungwa kwenye manifold ya exhaust, eti ndio 70k, ni kweli eti?
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Kuna vyombo vya usafiri aina tofauti duniani, uzoefu unaonesha madereva wa motokali(magari) ni wengi duniani kuliko hata
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu. Tafadhali mwenye kujua bei ya bearing za miguu ya mbele za gari aina ya Toyota wish naomba tujuzane tafadhali. Ahsanteni
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Jaman Wana jukwaa poleni na majukumu . Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu ..gari langu limekua na tatizo la kugonga gonga nakuutoa kishindo maeneo ya taili la mbele upande wa kushoto. Binafis...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Wadau kama thread hapo juu inavyojieleza namba hizo zinzkua zinaaanisha nini? kama yupo anayezijua maana yake anisaidie manake. Ninataka natafuta gari naambiwa ngari ipo vizuri namba D Mwingine...
5 Reactions
26 Replies
9K Views
Subaru impreza (Wrx-STI..🔸) Year-2006 Colour-black Mileage-74000km Engine size-1990cc Exchange allowed🔸 Price📲48m 0626409908
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimekutana na hiyo alama maeneo ya Mataa ya Kipawa karibu na uwanja wa Ndege, je ina maana gani?
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…