JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kwanza tunawashukuru Nissan kuja kufungua kiwanda cha magari Tanzania. Sasa ukitaka Toyota nenda kanunue Kenya maana huko nasikia Toyota wamefungua/wanafungua kiwanda. Ukitaka VW nenda Rwanda...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia...
15 Reactions
85 Replies
8K Views
Msaada hapo tafadhari naipenda hii gari muundo wake ila ule mlango wake tu wa kuburuza kama wa noah ndio kikwazo kwangu nataman ufunguke kama wa Rav 4 au gari zingine zenye mlango kama hizo...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari ya majukumu wadau. Baada ya kuagiza gari used kutoka Japan ilipofika nchini nilibadilisha engine oil na ATF. Kwa maelezo ya wataalam (garage) ambako nilifanyia service walinishauri kubadili...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
Ndugu waheshimiwa, Plani yangu ilikuwa kuagiza Voltz bahati mbaya bajeti imegoma, nikaona nitafute gari nyingine, SUV, itayoendana na hali ya mfuko wangu na hali ya barabara ninakoishi. Gari...
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Pikipiki aina ya Dayun. Betri mpya plug mpya. Lakini inachelewa kuwaka sometime napiga kick ndio I wake, tatizo linaweza kusababishwa na Nini wakuu?
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Kutoka hapa nilipo mpaka Ban-pho katikati mwa nchi ya Thailand ni kilometa 7191, Mbali kwelikweli. Inaitwa Toyota Fortuner mid-size SUV mpango kazi wa kimarekani uliotekelezwa na Wajapan katikati...
25 Reactions
74 Replies
18K Views
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaams wakuu, bila kupoteza muda naomba kufahamishwa basi nzuri ya kutoka DAR kuelekea Bukoba, iwe luxury full AC na iwe inajali muda. Natanguliza shukran.
0 Reactions
11 Replies
931 Views
Nna hitaji kujua kiundani kuhusu Scania trucks na model zake. Kuna threads nyingi humu ndani zimeongelea Trucks kwa ujumla, hasa ziki compare trucks za mchina na mzungu. Ila hakuna thread...
4 Reactions
15 Replies
5K Views
Kuna gari nimepishana nayo hapa ina hizi number plate. Mwenye maelezo kidogo jamani.
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu kwema humu? Naomba kujua ili chombo chako cha abiria kiweze kuwa barabarani ni vibali gani unatakuwa kuwa navyo na kutoka mamlaka ipi (TRA labda au Manispaa hivii) Naomba kujua.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wana forum nimekuja na hili swala kama nilivolikuta sehemu watu walikua wanabishana uwezo wa engine za toyota 1hz na 1Nz mada ilikua ni kwamba gari zenye hizo engine zikikaa rami zikianza...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Ni kampuni gani ya tairi za china ambayo ni nzuri kuzidi nyingine za china, nimeulizia BF GOODRICH y usa/uk Rim 15,ni sh 280,000/=kwa pisi moja, michelin 180,000/, goodyear 170,000/=, mchina...
13 Reactions
97 Replies
18K Views
Wasalaam. Nilinunua tyre kama mwezi sasa aina ya good ride za mchina mi mpya lakini nashangaa imevimba hata mwez haijamaliza. Wapi nitapata angalau hata kam ni za mchina ambazo unaweza kupiga...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau habar zenu, Naomba kujuwa ni kwanini gari za KIA SPORTAGE zinatengenezwa Korea kuwa na bei ndogo kuliko Team Toyota. Hizi Kia Sportage zinaComfortable nzuri tuu hata baadhi ya Toyota with...
4 Reactions
41 Replies
5K Views
Huu mzigo sijawahi uona machoni vipi hakuna anayeumiliki tupige nao hata picha tu.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Naomba mwenye kujua anijuze bei za pikipiki aina tofaut tofaut za brand ya TVS na za Brand ya Boxer Kwa DSM au Mwanza. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
5 Replies
11K Views
Wandugu, nimekutana na changamoto hiyo kwenye gari langu kwa mda wa zaidi ya miezi 4 sasa nimejaribu kuonana na mafundi tofauti dhidi ya watano kla mmoja alifanya alichozani ni tatzo, nimebadili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada kwa anae ijua hii gari vizuri kuanzia. Bei na matumizi yake pia unyonyaji wake wa mafuta please #lucidair
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom