JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu nataka kuagiza Mazda Tribute ili Krismasi mwaka huu 2020 niende nayo kijijini. Mwenye uzoefu
5 Reactions
30 Replies
7K Views
Land rover shikamoo! Mashallah....ipo siku
17 Reactions
185 Replies
21K Views
Wakati tukiwa katika karne ya 21 huku tukiwa tunashuhudia teknolijia mbalimbali duniani ambazo zinakufanya kushangaa nakuona kama ni kiini macho huamini amini; Hivi katika kuendeleza teknolojia -...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Subaru legacy Sport rims Proper spoiler 9m 0626409908
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Kimeumana kati ya mjapani (Tokyo) [emoji627] na mjerumani (Deustch land) Matengenezo ya hapo unanunua Starlet used [emoji16][emoji16] Mambo ya SA hayo [emoji1221] Sent from my phone using...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari za kazi wadau! Juzi kati nilibadirisha tairi kwenye gari yangu, nikaweka tairi la spea. Kwenye gari yangu kwenye kila tairi moja kuna nati moja ya lock ambayo inafunguliwa na spana yake...
2 Reactions
5 Replies
792 Views
Mzuka wanajamvi! Mjerumani kaamua kutoa kifaa kipya cha umeme EQS electric car ambayo ni tishio kwa Tesla. Inaaminika is the most luxurious electric car in the market. Gari hili linalotumia...
9 Reactions
62 Replies
6K Views
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Mitsubishi imesema kuwa majaribio ya matumizi ya mafuta yalifanywa kwa njia isiyo sahihi. Kampuni ya kuunda magari ya Japan ya Mitsubishi, imekiri kufanya makosa kwa tamwimu za matumizi ya mafuta...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeona watu wengi wana negativity na haya magari. Naomba wataalam mtueleze kama magari haya yana shida ki UFUNDI. Naona watu wengi wanayasema vibaya japo sijaona hata mmoja akiyaelezea ki...
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Nimesogea mitaa ya Bata, Tabata. Wadau gari yangu ni Toyota mbele chini inagonga. Nilikuwa naishi mitaa flani barabara mbaya sana inagonga kama watu wanapiga ngoma ya mdundiko. Natafuta fundi...
11 Reactions
40 Replies
9K Views
Wanajamvi, tafadhali naomba kuuliza engine za Verossa VVTi , bila magumashi Dar hii ntapata wapi!? Yangu imezingua na nataka niipige chini iliyopo Ili ni exchange gari nyingine, Je Bei zake...
1 Reactions
4 Replies
868 Views
Wadau naomba kujua ni wapi kwa Daslam au Mwanza wanaunda frem ya 'Bomba ya canter
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuanzia sasa, Serikali yetu, Awamu ya Sita, imeamua kununua mafuta moja kwa moja kutoka nchi marafiki. No mtu kati tena!
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Huu uzi nmebase kwenye gari zote ambazo ECU (Control box) ipo upande wa engine ambapo zaidi ya asilimia 90 ya gari za Ulaya na Marekani zinaingia hapo. Ingawa zipo gari nyingi tu za Asia ambazo...
27 Reactions
16 Replies
4K Views
Kwema wataalam? Nilinunua Premio ya 1.8 L kwa mdau mmoja, shida ilikuwa ni tairi za mbele kugonga na pia ukiwasha AC inakuwa kama kuna kamlio ka nyaya kama kugusana hivi...kama msikiavyo Nyaya za...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nina gari yangu Toyota Sienta cc1490 sasa betry lake naona limeisha maana ukizima gari kabla ya kuzima vitu vingne vyote kwanza haiwaki hata mbingu ishuke mpaka ubust ndio inawaka ila...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Sina mengi.. chombo ndo kama kilivyo hivyo
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Msaada kwa wataalamu wa vyombo vya majini; FIRE BARGE ndio nn, na bei zake zikoje?na Identification barge with name and check number inauzwaje pia?
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…