JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Crown ni gari ya maajabu sana, unaweza kukaa na genge lako la wajuaji mkaiponda sana mkaiita yebo yebo mara inaua, gari ya Taifa na kuisengenya saaana, Ebwana eeh ile umetoka tu kwenye kikao cha...
27 Reactions
135 Replies
48K Views
Habarini wakuu, Nahitaji fuel pump ya toyota brevis original, Mwenye kujua wapi nitapata tafadhali naomba nielekezwe. Nipo Dar es salaam.
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari za muda huu, Pamekuwa na thread nyingi sana za watu kuomba ushauri/ elimu hasa kwenye suala zima la budget halisi/ kamili ambayo mtu anahitaji kuwa nayo kuweza kumiliki gari. Kwa bahati...
21 Reactions
120 Replies
54K Views
nahitaji ile shoo ya mbele ya toyota nadia inayofanana na hii pcha.. . mwenye nayo naomba aniuzie... hilo eneo jeusi lenye alama ya toyota.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Dah nimeanza kujifunza kitu. Kuna muda mtu unamuona anapita na kausafiri kake especially hivi vibaby walker, ukasema ameyapatia na ile hali hapo hiyo route anapokwenda akikosa anachokifuata basi...
3 Reactions
147 Replies
14K Views
Aisee kuna wizi unafanyika kwenye magari. Mafundi wasio waaminifu wanakata exhaust na kuremove unga unga uliopo kwenye exhaust (bomba la moshi). Inasemekana wanauuza huo unga kwa watu wnaorexycle...
1 Reactions
317 Replies
72K Views
Bila shaka umewahi kujiuliza 'injini ya ndege za abiria inafanyaje kazi? Na huenda hukupata majibu! Ukiendelea kusoma,utapata jibu la swali hilo, Kwanza, hebu tuone sehemu za injini ya ndege...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hello Wapi napata private car za kwenda mwanza jion hii Kama unajua au una route hiyo pia nijuze Regards Jf Mafofo
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Huyu jamaa nimemsikia BBC ana pikipiki ya kuchaji. Zinapatikana madukani au ni ya kujiundia? ===== Anthony Kapinga Pikipiki ya Bw. Kapinga Ifahamu pikipiki inayotumia umeme ambayo wengi...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari wanajamii! Pamoja na ushamba wangu leo nimekutana na hii habari kuwa kukata kona ya kulia kwa baadhi ya magari kunapunguza unyonyaji wa mafuta, nimebaki naduaa maana nimeshangaa kampuni...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu ni nini tatizo? Wakati hydraulic iko full? Hakuna leakage. Ahsante
1 Reactions
6 Replies
723 Views
TAIRI Ni sehemu ya nje ya guruudumu Sasa sababu zinazo athiri matairi ya magari zinawezakua: Namna ya ujazaji upepo. Unapojaza upepo kwenye matairi in sharti uangalie usijaze kupita kiasi...
7 Reactions
10 Replies
5K Views
Wanabodi habari, Kwa heshima zote naomba kujua ipi ni njia nafuu ya kupata gari bora kati ya kununua hapa bongo au kuagiza nje ya nchi maana natarijia kununua gari hivi karibuni. Naomba...
3 Reactions
36 Replies
12K Views
Nahitaji kununua batery mpya ya gari N50 naomba ushauri ipi ni batery bora. Matumizi yangu ya gari ni mara chache huwa naiacha bila kuiwasha hata siku 3
1 Reactions
24 Replies
20K Views
Site mira ya nissan xtrail inahitajika urgently, Dar or Mwanza please msaada wakuuu Mawasiano
0 Reactions
1 Replies
637 Views
Nipo vijijini, nimemaliza chuo 2018 ualimu nilisota mwaka 1 nimesaidia fundi beba zege gafla nikapata mchongo private japo salary inasua sua Lakin nashukuru Mungu Mwaka huu nikajiongeza na kamera...
7 Reactions
46 Replies
6K Views
Injini moja ya Boeing787 Dreamliner inasukuma tani moja na robo ya hewa kwa sekunde ikiwa katika full power. (Hesabu inasema, inachukua takribani miezi isiyopungua mitatu kwa binadamu wa kawaida...
6 Reactions
16 Replies
6K Views
Heshima kwenu, Ukikutana na mmiliki wa BMW series yoyote ile ni vyema ukamheshimu tu kujipunguzia machungu ya ukali wa maisha! Hongereni!
45 Reactions
389 Replies
67K Views
naomba nipate ushauri kati ya land cruiser 300VX engine v6 na LX 600 ipi ni gari nzuri sanaa? land cruiser 300VX land cruiser LX600
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu habari ya wikiendi.... Napenda kufahamishwa kuhusu bima ya gari ya siku 7. Niliwahi kusikia mtu unaweza kukata bima ya siku ya 7 kwa gari lako. Naomba kufahamishwa kama ni kweli na je ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom