JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Leseni yangu ya udereva imekwisha muda wake. Je, naweza kuihuisha bila kwenda ofisi za TRA? Namaanisha kuwa; je naweza kuihuisha kidijitali? Mambo yapi yanahitajika?
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Ukitizama tambo za mashabiki wa yanga juu ya ujio wa bus jipya huko mitandaoni ni jambo linalotatanisha na kustajabisha sana. Sote tumeona picha zao wanazotumia huko mitandaoni ni tofauti na...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Nimenunua mwaka jana niliagiza. Tatizo lililopo ni kuwa nikiwa katika mlima gari inapush kwenda spidi zaidi wakati hiyo hali haikuwepo. Niliipeleka kwa mafundi wa kompyuta wakanipa quote ya...
7 Reactions
47 Replies
6K Views
Wakuu Kwa DHATI naomba mwenye kuijua vema hii gari, Mafuta inatumiaje,(Lt per km), Spea zake, AC (how good it is), kwa kifupi faida na hasara zake kwa hii gari. Naomba saana, Mwishowe kwa Mil 9.5...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu nimetoka kuipenda hii gari lkn nasikia Zina shida Sijajua ipo wapi hii shida,,hata hivo naomba ABC ya hii gari cc 1750 injini 1zz,, AC ipoje?Spea zake na utulivu barabarani,pia kwa 9 m...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
wadau nimependa hili gari la nissan fuga nataka kuagiza. je kuna mtu ana experience nalo kuhusu ubora wake. nataka lenye cc2500 hope mafta litakuwa linakula kama mark x au brevis ya cc2500. Naomba...
2 Reactions
55 Replies
16K Views
GENERATOR AND AIR COMPRESSOR SOLUTION We dealing with:- ■Generator ☆Selling generator Used and New ☆Preventive and Breakdown maintenances ☆Generator installation ■Air Compressor ☆Selling Air...
1 Reactions
0 Replies
593 Views
Wataalam habari za asubuhi.Jana kuna jamaa yangu kanunu tyre za gari aina ya LING LONG Size 185/70/14R0 Kuna mahali zimeandika 1221 muuzaji kamwambia hizi ndio mpya za mwaka huu je ni kweli...
2 Reactions
43 Replies
7K Views
Kuna watu wanafikiri BMW X6 zile za beforward ndio toleo pekee la bmw x6. Imefikia watu wanaanza hadi kuipambanisha x6 na v8. Inabidi tuelewe kwa nini huyu mnyama ana heshima na vyeo kibao huko...
13 Reactions
101 Replies
12K Views
Msaada kwenye tuta, Gari Toyota Harrier, Taa ya Battery inawaka kwenye dashboard ( charging system warning light) hii kitu inasababishwa na nini? Pia namba ya kurekebisha. Gari inawaka bila...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Mistubish colt (performance car) for sale meth kit installation Fmic installation Guages installation Android redio installation Otaku mapped tunned Jdm stearing wheel installation Xxxr rims...
3 Reactions
6 Replies
972 Views
Wana jf msaada tafadhali ...NIKIWASHA PIKIPIKI ASUBUH inatoa moshi mweusi kidogo kisha moshi unatoweka kabisa inarudi kwenye hali yake ..nini tatizo...nipo njombe kwenye baridi Tatizo linajitokeza...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari za asubuhi ? Swali ya yote kampuni ya Nissan ina toleo la gari linaloitwa Nissan Murano likiwa katika mfumo wa suv. Je yapi ni mazuri ya hii gari na kwa nini mtaani ni gari adimu licha...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Salaam, Kama yupo anayejua ninakoweza kupata: Honda All Season Antifreeze/Coolant Type 2 Ninaomba nisaidie. Ni muhimu sana niipate, nip Dar ila kokote ndani ya nchi ninaweza agiza...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu! Kuna dhana,exaust kutoa matone ya maji kwa baadhi ya Gari unapowasha (Cold Start) kwamba inaashiria uzima wa Engine. 1. Je, kuna ukweli kwenye hii dhana? 2. Nini kinasababisha...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu habar zenu Niende kwenye topic moja kwa moja me n kijana naenza maisha sina elimu sana na vyombo vya usafir ila kuna hz pik pik aina ya honda click nataman kununua kwa ajil ya trip town na...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
hivi kuna watu humu wanamiliki private plate namba za gari, yaani zenye majina yao?? maana mtaani kugumu kwelikweli
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Wajumbe naomba ushauri, Kuna watu huwa wanashauri kuwa unapokarbia kumwaga/kubadili Engine Oil basi uweke Engine Oil Flush dkk chache (wkt Gari inawaka) kabla ya kubadili Engine Oil, inasemekana...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Je, nikweli sikuhizi plate namba D zinachongwa tu kihuni hata kama gari lilikuwa namba B. Inabadilishwa na kuwa namba D ili baadaye ikauzwe kwa Bei ya juuu? Naomba ufafanuzi.
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Yangu inatembea km 70 full AC, foleni za Dar es Salaam
0 Reactions
89 Replies
30K Views
Back
Top Bottom