JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Gari ni Specio New Model Tatizo ni kwisha kwa coolant ndani ya siku mbili, yoote inakuwa ndani ya rejeta. Kuhusu rejeta haichemshi ila unakubidi uweke maji kila siku au baada ya km 45 - 50 Tatizo...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu salaam! Msaada wa mawazo ninaishi milimani vijijini huku. Je, boxer 150 itanifaa kweli?
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Service za Magari Ni kitu muhimu Sana katika kuhakikisha usalam wa gari yako,wewe mwenyew na wengine. Bahati mbaya sana huku kwetu service huwa tunazifanya kwa mazoea ndio maana sio ajabu gari...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Wajuzi, gari yangu kila nikirekebisha silencer inakuwa chini kiasi cha kuzima. Hiki ni tatizo gani, suluhisho ni nini?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ndugu Wasomaji Tunafahamu wapo baadhi yetu hununua au kumiliki magari na baadaye kufanya mabadiliko kadhaa. Mabadiliko hayo yanaweza kuwa madogo tu kama vile badiliko la rangi (ambalo kimsingi...
8 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii ni Audi A3 2.0 TSI Hatchback ya mwaka 2010. Nimeifanyia Diagnosis kama kawaida ina error codes kibao (Zaidi ya Faults 50). Sasa katika kwenda kutest waya za mojawapo ya sensor ambayo...
20 Reactions
78 Replies
7K Views
THE MOST ADVANCED LX EVER Connect to more with Amazon Alexa* compatibility. And see more with nearly 360 degrees of visibility. Inside, the Lexus LX offers indulgences like Mark Levinson®* audio...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimeona/shughudia mojawapo ya ndege zetu hapa Tanzania ikiwa imepaki na katika kutizama vizuri nikaona chini kwenye tyre wameweka kigogo cha mti ili ndege isirudi/kwenda. Je, maana hizi ndege nazo...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Salaam! Naomba Msaada kwenye hilo. Gari unapopiga Starter linakuwa moto unafika ila haiwaki. Muda mwingine Kesho yake au muda mrefu umepita Ukiwasha inawaka. Naombeni Kujuzwa kwa wale waliowahi...
2 Reactions
23 Replies
7K Views
Hyundai Genesis car Genesis is a new luxury brand that was created in 2015 as Hyundai's upscale spinoff. The first EV from Genesis will be the 2022 Electrified G80 sedan, set to launch by the...
1 Reactions
0 Replies
633 Views
Wakuu naomba msaada je tatizo ni nn ...je linatibika kwa pikipiki aina ya boxa 150 Gia 4 Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Wana jf habar...nini tofauti au ipi bora ..imara kati ya boxa 150 Gia 5 na Gia 4.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hii gari nimeiona kwenye facebook groups Ni Alphard ila mimi sijawah kuiona alphard ya hivi [emoji23] Hii gari sura yake inachekesha jamani tuache utani.
8 Reactions
43 Replies
6K Views
Wanajukwaa habari, naomba msaada wa hzi spare za gearbox gari yake ilikua ma shida hivo baada ya kwenda kwa fundi kuicheki wakakuta hivi vifaa ni vya kubadilisha. nock sensor, shift gear na...
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Habari ndugu, Nimejaribu kupita kwenye website mbali mbali zinazouza used cars kutoka Japan nimekutana na gari aina ya Toyata Pixis Epoch na imenivutia hasa kutokana na ulaji Mdogo wa mafuta...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habar wakuu poleni namajukumu, Kama kichwa Cha habar kinavoeleza hapo juu nimepata fuso namba A nataka kuinunua..nataka kujua kwa fuso namba A naweza kudumu nayo kwa miaka mingap.
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Wakuu habari za asubuhi, Tafadhali naomba msaada nilikuwa naendesha Suzuki Carry (kirikuu) lakini ghafla ikawasha hiyo warning light kwenye dashboard. tafadhali naomba kuelewa hiyo taa...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Hello habari zenu, Aiseeee nahitaji manual book ya hii gari, Nissan Dualis 2009. Nimeingia mtandaoni nahisi nimekosea chimbo za kupata. Ila najua JF hakuna linaloshindikana. So nimeona nije...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Watu wengi wanaendesha gari za kijapani. Hivyo hiyo sticker huwa inakuwa na maandishi ya kijapani. Lakini kwa gari za wazungu, hiyo sticker inakuwa kwa kiingereza. Umewekewa tahadhari kwamba...
24 Reactions
41 Replies
5K Views
Nikiwasha inaleta upepo wa moto... hot air badala yabaridi shida ni nini wakuu. pia gari ilikuwa na tatizo kKuchemsha nikatoa thermostat naomba msaada. Ushauri wenu muhimu
3 Reactions
79 Replies
11K Views
Back
Top Bottom