JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu naomba kujua kiundani juu ya hii gari bei, upatikanaji wa vipuli pamoja na ulaji wa mafuta nimetokea kupenda bajeti yangu ni 20milioni je naweza pata?
1 Reactions
2 Replies
802 Views
Habari wana jamii forum, nasikia wachina wanapaka rangi vizuri sana magari na kurudisha katika hali yake ile ile na ubora ule ule wa gari lako. Je kwa Dar wanapatikana wapi? Ni kweli wako vizuri...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
nauliza bima ndogo ya gari za 1990cc,mfano noah,ni sh ngapi kwa sasa?
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Msaada nilikwangua show ya mbele ikadondoka, kama unavyojua maplastic ya Nissan, naomba msaada wapi naweza ikarekebishwa hapa Kanda ya Ziwa?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mitsubishi rosa 4m51 namba zake ni drp. 1. Gari hizi huwa na changamoto gani hasa kwenye injini? 2. Je ni gari nzuri kwa biashara. Mfano kutoka manyoni hadi dom mjini. Km 240 go and return 3...
0 Reactions
0 Replies
622 Views
Hivi Kati ya Suzuki Escudo na Toyota RAV4 old model kama unaanza maisha,,gari ipi inafaa katika maana ya ulaji wa mafuta, upatikanaji wa spare parts na ustahimilivu wa mazingira
3 Reactions
39 Replies
17K Views
Habarini wadau, Poleni na purukushani za tozo na mengineyo, Naombeni mnijuze ubora na udhaifu wa gari tajwa hapo juu nipo katika harakati za kutafuta gari la juu yani (suv) na kwa budget niliyo...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Habar wanajamvi, Je, Kutengeneza gari ambayo haijatumika miaka takribani mitano. Kufix injini mpya na vipuri vingine ambavyo ni chakavu..HIYO GARI ITAKUA DURABLE?..haitasumbua kila siku...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi naombeni kujua gharama za kutoa gari aina ya Toyota ist badarini baada ya kuwa nimelipa kodi ya TRA, kuna tozo gani nyingine za ziada na bei zake zikoje?
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Wapenzi wa Suzuki Jimny tufurahishe macho.
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari za leo wadau! Naomba msaada , gari yangu aina ya Wish taa ya oil inawaka moja kwa moja. Imeshabadilishwa vitu vingi hadi fundi kanyoosha mikono. Naomba wajuzi mnisaidie ifanyiwe nini tena?
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwenye usafiri wowote kunaweza kutokea hatari au dharura yeyote..Nakumbuka nikiwa Kwenye safari fulani ya gari moshi ilitokea sintofahamu ndani ya mabehewa abiria wakawa wanataka kwenda kutoka nje...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Zamani nilipokua naona watu wakimiliki magari na mimi nilikua na pikipiki nilijiona dhalili sana na mnyonge. Nilikua naona wenye magari kama watu waliopendelewa sana, na wenye pesa, lakini gari...
8 Reactions
68 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu, nataka kununua gari Yard, Je ni yard gani inaaminika Hapa Dar? Ambao hawana ile michezo yao ya kumanipulate ODDO! Msaada tafadhali
5 Reactions
30 Replies
6K Views
Pole na kazi wakuu!! Mafundi naomba munisaidie nipo kijijini huku Nina pikipiki aina ya TVS changamoto yake Ni kwamba inasumbua kuwaka. (Napiga kiki mpaka nachoka)(Ukisukuma inawaka) hata ikiwaka...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu Kama kichwa Cha habar kilivyoeleza hapo juu nategemea pia kuinunua gari yamzigo 124L kichanja inayoweza pia kuwekwa bodi bomba zakupachika ikawa na matumizi mawili kichanja na Ile wanasema...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za jumapili wapendwa naomba kujuzwa budget ndogo yakuweza kuanzisha workshop ya kurepair pikipiki.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau natumain niwazima, Naomba kujua kuhusu starlet granza kuanzia spea ulaji mafuta na vinginevyo. Starlet Granza
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu, Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na haya magari (Hino, Isuzu na Mitsubishi Fuso) nahitaji kufanya biashara ya bus la abiria kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine i.e Iringa to...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Back
Top Bottom