JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Ipi nzuri ya kuchukua ukizingatia 1: matumiz ya mafuta ( diesel) 2: comfortable safarini 3: uvumilivu
7 Reactions
26 Replies
6K Views
Ni mkoani kabisa, hakuna lami ni full vumbi... Gari ipi kati ya hizi itafaa kwa mazingira hayo? Pia waweza recommend models zingine zinazofanania muundo huo wa SUV for convenience. Subaru ya...
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Jamani nani ana udhoefu wa hizi tyres... je will you reccommend them over Blacklion, BF goodrich or? Zinadumu?
1 Reactions
13 Replies
3K Views
kati ya kampuni hizi za tairi za china,ipi ni nzuri wadau,kuna BOTO,SAILUN NA LINGLONG-zote bei ni 145,000/kwa pisi,nichukue kampuni ipi?nataka pisi 2 za mbele,205/70R15.
1 Reactions
18 Replies
4K Views
jaman wakuu,kwa wataalam wa magari,hivi kuisha kwa breki kunaweza sababisha high rate of fuel consumption? Hasa kwa automatic cars ndogo kama ist,vitz,duet n.k. Plz naomben jibu
0 Reactions
28 Replies
11K Views
Ukienda kufanya service ya brake huwa unarekebisha au kubadili nini? Je, umewahi kubadili Brake fluid? Inashauriwa kubadili Brake fluid kila baada ya miaka 2 au 48,000Km (Lolote litaloanza kati...
6 Reactions
27 Replies
5K Views
habari wadau? Katika kuperuzi kwenye site mbalimbali zauuzaji wa magari online nimekutana nahizi gari za wakubwa Toyota land cruiser V8 model ya 2017 Befoward wanataka kiasi cha pesa ML:109 na...
2 Reactions
83 Replies
11K Views
Habari za muda huu wakuu,aisee jana gari yangu ilichemsha so nmefanya overhall,shida inakuja kweny spare zake nmetafuta mbeya nzima nmeambulia kimoja tu(ring piston). Nahitaji vifutavyo Ring...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Wataalamu hebu tusaidiane oko inayoziba pancha inafanyaje kazi? Na inafananaje? Asanteni
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Msaada nataka kujua jinsi ya kutumia mb za cmu..zitumike kwe.ye laptop
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu, wataalamu wa magari naomba kufahamu kiundani kuhusu hii gari Nissan Juke ya 2011 ina 1490cc, kwanini Bei yake iko juu sana (23 Million) na wakati ina muonekano mdogo kama wa IST?
1 Reactions
45 Replies
11K Views
Wakuu kwema, Sijawahi kumiliki ndinga ila nimejichanga nataka nianze na starlet glanza wenye kuijua gari hii wanisaidie uzuri na changamoto zake tafadhar.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Hii ni Toyota Carina, usukani unakuwa mgumu halafu oil kwenye steering power unaisha maramara , huyu fundi akaniambia steering power imekufa ,nikaamua kununua nyingine tatizo liko pale pale. Pili...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu salama? Bila shaka acha niende kwa mada, Kutokana na kuendesha gari tofauti tofauti, manual na automatic nimegundua hili. Gari ikiwa na wese full tank au hata ikiwa kwenye half tank ukiwa...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Habari Wadau, Gari yangu ni Honda fit inatoa mlio wa gu gu guuuu ( non metal clucking) mguu wa mbele kulia hata kwenye speed ndogo kwenye barabara yenye vishimo shimo. Nimebadisha Shocks zote na...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Katika pita pita zangu nimetokea kupenda gari hizi 1. Toyota Voltz 2. Toyota Ractis 2011 Naomba pros and cons za hizi gari. Mimi shughuli zangu ni hapahapa mjini, sina safari za mbali. Zote...
3 Reactions
55 Replies
14K Views
Wakuu wa hili jukwaa salama? Hii oil ya Atlantic mwenye uzoefu nayo naomba atupe abc kidogo kabla sijaitumia.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kuna kibaby walker niliagiza, sasa kimefika. Nimeongea na kampuni ya clearing wamenipa hizi gharama ukiachana na kodi ya TRA ambayo naweza kuona kwenye system ya TRA, ningependa...
1 Reactions
32 Replies
15K Views
Wadau poleni na majukumu.Nina Suzuki Escudo Cc 1590.Matatizo ya gari hii yananichanganya Sana.Kwanza gari inachemsha Sana,Haina nguvu na Sasa inakula mafuta balaa Lita moja kwa km 2. Pia Sasa...
5 Reactions
52 Replies
9K Views
Nikiwa napita pita Befoward kuusitua umasikini nimekutana na hili gari likanivutia kwa mwonekano wake Wajuvi wa magari nipeni somo kidgo kuhusu hili gari, linafaa kibongo bongo ukizingatia na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom