JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kuna wimbo wa Esir - leo ni leo kuna mstari alikuwa analisifia hili gari je lilikuwa na vitu gani spesho? Cc RRONDO na watalaam wengine wa magari pamoja na wadau wa mziki wa zamani kushuka 2010
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari if! Naomba mwenye kumjua fundi makini wa kuniwekea fog lights kwenye gari yangu Toyota axio kwa Dar au Arusha , mkinifahamisha pia gharama nitashukuru , fog lights za round ( HID bulbs)
5 Reactions
80 Replies
12K Views
Msaada bei ya kubadili kadi ya gari ununuapo kwa mtu ni kiasi gani kubadili TRA? MAONI YALIYOTOLEWA NA WADAU Document wanazohitaji ni: 1. Mkataba wa kuuzina chombo cha moto. 2. Nakala ya...
1 Reactions
46 Replies
76K Views
Wataalam, Nitumie bulb gani nzuri kwenye toyota vitz? Zilizopo zinawaka mwanga mdogo na zinanipa sana tabu usiku licha ya kusafisha vioo vya taa kwa mashine
2 Reactions
7 Replies
5K Views
Wazee wenzangu huku ninapokaa naona hakuna vifaa kwa ajili ya Car Diagnosis. Je, nahitaji vifaa gani hasa nifungue ofisi ya hivi na itanigharimu kama kiasi gani? Mshanajr RRONDO Bavaria
2 Reactions
45 Replies
9K Views
Ndugu zangu wataalamu, nina mpango wa kufungua car wash business sasa nimepata changamoto ya mashine katika ununuzi. Kuna mashine ya umeme nimekutana nayo dukani haina horse power ila ina 240...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habarini wakuu, Hivi ukipata ajali (ukigonga) na kuharibu gari lako na la mtu uliemsababishia ajali, ni taratibu gani za kufuata ili watu wa bima wahusike kucover gharama za matengenezo kama...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Members naombeni mawazo hapo gari gani nzuri kwa Mtanzania mwenye kipato cha kawaida anayetaka kumiliki gari ya juu
4 Reactions
62 Replies
16K Views
Wakuu naomba kujua bei ya hii pikipiki ikiwa bado mpya kabsa kwa hapa Tanzania naipenda kuliko hata gari
2 Reactions
49 Replies
22K Views
Wakuu habari za muda huu? Miezi kama 6 iliyopita, nilinunua benz kwa mtu. Gari ni Mercedes E280. Nilikagua chassis number vizuri na kujiridhisha umiliki wake. Nimekaa nayo vizuri bila tatizo...
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Nimeshangaa kuona jinsi Magari ya mzungu yakivyokuwa na utofauti na Magari yetu ya kijapan,Jana nilikuwa nasukuma ndinga BMW 320i kutoka banana Hadi Kariakoo hakika kuna utofauti Mkubwa Sana na...
20 Reactions
79 Replies
11K Views
Habari wadau, Kwanza kabisa niwe mkweli, sijui lolote kuhusu magari. Ndiyo naanza kupambana na mimi niwe na usafiri wangu. Nataka kujua kwa kiasi cha milioni 10-15 naweza pata gari gani ya juu...
3 Reactions
68 Replies
12K Views
Wanabodi, naomba msaada wa hiyo gari, nataka kujilipua na katika gari za juu, naiona hii itanifaa, by the.way nimewahi kumiliki suzuki escudo lakini ilikuwa 4S.Mwenye kuijua hii gari hasahasa...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Tafadhali waungwana gari kuna mtu anataka kuniuzia gari iliyotajwa, kuna anayefahamu kuhusu uimara wake, upatikanaji wa spare na bei zake kwa hapa bongo aweze kunishauri kabla sijaingia mkenge...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Hivi karibuni kuna pikipiki mpya zimeingia zinaitwa lifo zinasifika kwa ulaji mdogo wa mafuta zina Cc 110 kwa wale ambao mmeshaitumia naombeni kufahamu Upatikanaji wa spare Uimara wake N.k
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau wa jf ushauri wenu unahitajika aina ipi ya bajaji inafaa kwa matumizi ya biashara Piaggio Tvs Bajaj Re Mahindra N.k Tupeane ujuzi kuhusu ulaji wa mafuta, spare pamoja na bei zake
0 Reactions
1 Replies
4K Views
habari za muda wakuu nakuja kwenye mada mojaKwaMoja mim ni dereva shida yangu kubwa bana nataka kujua vifaa vyote vya gar na jinsi vinavyofanya kazi au kama kuna wadau mnajua online mnimpe mwongozo.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu habari za weekend! Nimefikilia niagize gari aina ya Volkswagen golf toka japani nahitaji ushauri kidogo toka kwenu wadau wa magari maana mie sio mzoefu wa magari haya ya mjerumani. 1*Kitu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bugatti la voiture noire, inatajwa kuwa ndiyo gari ya gharama kubwa kuliko gari zote duniani, ikiuzwa kwa Dola 19 milioni za Marekani sawa na Sh43.7 bilioni. Gari hiyo inayotengenezwa nchini...
7 Reactions
11 Replies
7K Views
Back
Top Bottom