JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nina katoy kangu aina ya starlet carat ninachokatumia katika misele ya hapa na pale. Nilikikwara kwa mtu, ila changamoto kubwa ikawa ni ulaji wa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana jf wote, Leo naomba kuuliza waliowahi kumiliki au kutengeneza gari aina ya Isuzu bighoun kujua yafuatayo:- 1. Uimara wake. 2. Matatizo yake/magonjwa yanayosumbu a mara kwa mara. 3...
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Mitusbishi Canter 1.5ton, 4d33 au 4d32 inauzwa kiasi gani wadau
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Natafuta-‘ bampa la mbele , complesa, na difu ( complete) Ya Gari Noah field tour. Naomba kukujuzwa gharama zake na zinapo patikana.
1 Reactions
4 Replies
714 Views
Mambo vipi wadau... Alhamis iliyopita nilienda mjini na gari wakaja watu wa tarura wakanipa risiti ya kulipia ilikuwa na control namba lakini cha ajabu mpaka leo imegoma kulipia kila nikiweka...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari, wakuu hii taa 4WD ina maana GANI maana haitaki kuzima kabisa, sasa inafika mwezi mzima nimebonyeza kila batani lakini wapi? Nikiwasha kuvuta tairi zote 4 hiyo taa inazima zinawaka...
2 Reactions
109 Replies
9K Views
Wakuu habari za humu ndani kama kichwa kinavyojieleza hapo wale waliowahi kumiliki pikipiki. Ana ya shineray tupeni uzoefu wenu kuanzia changamoto zake ,ulaji wa mafuta, uoatikanaji wa spare zake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa upande wa Denso naona wamebase tu kwenye magari. Ila NGK wao wamebase kwenye vitu vyote vinavyotumia engine za petrol kuanzia magari, generators, pikipiki, boats, mashine za kukata nyasi...
7 Reactions
16 Replies
4K Views
Hello Team Magari naombeni kuuliza Suzuki Jimny yangu Turbo yake haifanyi Kazi .Niko Arusha Mjini msaada please ,
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Piston ni sehemu ama kifaa mojawapo katika engine ya gari ,ambacho hutumika kudhibiti hewa na mafuta ndani ya cylinder. Pia kutoa nguvu itokanayo na kuungua kwa mafuta kupitia connect rod hadi...
9 Reactions
9 Replies
6K Views
Naomba kujua undani wa hii gari nilizobahatika kuziona mtandao nyingi ni left naomba kujua kama na right zake. Na pia kuhusu stability yake ikoje.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nilikuwa na Rav 4 short chasis Ambayo kutokana na matatizo mbalimbali niliiuza toka january mwaka huu, nina familia na kwa sasa naona changamoto kubwa kukosa usafiri, kutokana na hilo nilianza...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
jaman naomba ushauri kuna gari aina ya AUDI A3 ya mwaka 2010. natarajia kuimiliki nimeipenda sana lakini nataka nijue je ni gari ambazo hazina matatizo? Na je spea zake zinapatikana kiurahisi...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
polen na mjukumu wadau jf..Naomba kufahamishwa kuuhu C&F ukiwa unaagiza gari nweka attachment ya picha nawasilisha Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu wapenda magari kwema...? Wazee mnaionaje hii chuma aliyoleta Azam ,inafika pesa ngapi za madafu bongo? Na ina vitu gani spesho kulinganisha na bus zetu pendwa Golden Dragon, Youtong, Scania...
7 Reactions
52 Replies
9K Views
China imekuwa sehemu kubwa ya vitu vingi vinavyo zalishwa na kusambazwa duniani ila hawa watu washukuru bila nchi za ulaya na mataifa makubwa kuogopa ujila wa mishaara mikubwa kwa ajili ya viwanda...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Watalaamu wa magari ya Toyota naomba kujua tofauti ya aina ya magari hayo toka ukubwa wa injini, ulaji wa mafuta, uwezo wa kubeba abiria, uimara wa gari na kadhalika pia bei yake kwa gari la 2009...
1 Reactions
22 Replies
13K Views
Wakuu naitaji hii spea fundi kasema inaitwa cabin booster , Kwa mtu yeyote ambae anajua bei yake na wapi naweza kupata kama ni mpya au used then anidm tafadhari Niko Dar es salaam
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu wataalam wa toyota naomba kujua dondoo za hii gari.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
1. Swali: Chombo cha moto ni nini? Jibu : Ni chombo kinachotumika katika usafirishaji ardhini, ambavyo ni pamoja na Magari, pikipiki na bajaji. 2. Swali: Nikitaka kununua gari kwa mtu taratibu...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom