JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari za muda huu rafiki na jamaa, Mimi napenda kujifnza ufndi wa pikiki, lakini sijui ni aina gani ya pikiki ukijua kuztengeza huweza kuleta kipato zaidi na kujifnza huko huweza kuchukua muda...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada wakuu, gari yngu ilikaa pasipo kuwashwa Kwa almost a year, Leo nilikua nataka kuiwasha ikakataa so nikaita fundi umeme na engine. Baada ya kuhangaika sana computer ya fundi umeme imeleta...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Wasalaam, Leo ningependa kuiongelea kidogo gari tajwa hapo juu ambayo ni miongoni mwa gari pendwa kwa wengi kutoka kwenye kampuni ya Toyota. Toyota Allion ni gari ndogo (sedan/saloon car) yenye...
5 Reactions
10 Replies
13K Views
Eti wakuu. Huku kwenye jua la kutosha, gari ya umeme haiwezi kutumia umeme wa jua? Inatembea na panels za solar juu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu nimatumaini yangu wote niwazima, nina Toyota Allion ambayo in a ratio lakutetemeka pindi ukiwasha a/c. Nilijaribu kupeleka kwa mafundi wakaniambia nibadilishe compressor na...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Wanajamvi na wazoefu naomba kujua nitumie kitu gani kusafisha tope lililoganda chini ya gari, kwenye engine, oil sump na sehemu zingine. Kwa presha washer imeshindikana kutoka. Msaada tafadhali...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni kijana ambaye niko jiji Dar es Salaam katika harakati za kutafuta pesa nmefikiria kununua boda boda ili niweze kujiongezea kipato lakini kutokana na boda boda mpya kuwa gharama sana...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu Salaam. Naomba Kujua Faida za Injini ya Petrol pia za Diesel. Na Je, ni Injini ipi bora kati ya hiz mbili. Interms of Durability na Performance. Naombeni Michango yenu.
5 Reactions
17 Replies
6K Views
Wana JF habari, Naomba kuuliza engine ya 5a cc 1490 kuwekwa kwenye body ya fav 4 short chesis. Je, gari inaweza perfom vizuri? Na nn madhara yake
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Hii Tesla Cybertruck inabadili tafsiri ya gari kwa karne hii. Hii gari kimuonekano ni kama SUV lakini hili ni Pick up!. Cha kuipa sifa zaidi yenyewe ni EV - electric vehicle lakini imeweza...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Wakuu naulizia vile vifaa vya kuweza kudetect na kufanya diagnosis ya gari ndogo mwenye ujuzi navyo.. Nimepata access ya kununua China, ila sijajua ipi inaweza kuwa nzuri zaidi.. mwenye picha au...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
IFAHAM TOYOTA PROGRES- kwa ufupi Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagiza Magari Utangulizi Gari hii ndogo ya starehe ilizalishwa miaka ya 1998- 2007. Mshindani wake ni Lexus IS ingawa Progress...
3 Reactions
22 Replies
6K Views
Habarini Wana jamvi, Nilikuwa naulizia bei au gharama za kununua BMW X3 kwa mtu. Maana nikubali sana hii Mashine ya Mjerumani so naombeni kujuzwa ili nilifanikisha hili Inshallah
3 Reactions
20 Replies
5K Views
Wakuu gari yangu IST nikiweka gear D kabla sijaondoka inashtuka alafu kama kuna kimlio inaweza kuwa ni tatizo nini
3 Reactions
33 Replies
8K Views
Msaada kwenye tuta Nina kagari kangu naona rangi kama inafifia ila bado si mbaya sana. Napenda kujuzwa yafuatayo hasa kutoka kwa mtu ambae ameshafanya polishing au waxing kwenye gari yake 1...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Mafundi wa gear box auto, naomba msaada wenu wa ki ufundi gari hii ilikuwa nzima na inabadilisha gia vizuri tu, tatizo limekuja pale ilipoguaa kwenye sampo hapo ndipo shida ilipoanza, kidupi ni...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Naulizia iko vipi kuchongesha gari yako na kuifanya na muonekano tofauti na ilivyo toka kiwandani. Kwa mafundi wanaweza waka boresha muonekano wa gari kwa mbele tofauti na ilivyo asili ya gari...
4 Reactions
59 Replies
11K Views
Nataka kuongeza ground clearance ya gari (Toyota Isis) kwa kubadilisha tairi kutoka 195/65 R15 na kuweka 195/70R15 Je hiyo itasaidia? Na je inaweza kuwa na athari zozote hasi kwa mwenendo mzima wa...
2 Reactions
35 Replies
10K Views
Kampuni ya Hyundai imesema imepiga hatua kubwa katika kutengeneza magari yanayoweza kupaa, na kuwa ndoto yake ya kuwa na magari hayo inaweza kutimia kufikia mwishoni mwa muongo huu. Kampuni...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Hii ni motor grader Tulikuwa na hizi 9 joysticks Sahivi ni 2 joysticks bila steering wheel
3 Reactions
0 Replies
646 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…