JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Je nawez kupata wapi zile madgurd za chin ya gar kw toyota allex.
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, baada ya kupambana nimeamua nijipongeze kwa kutaka kununua gari ya ndoto yangu ambayo ni Nissan Murano, sasa nimekuja hapa mnisaidie kabla sijafanya maamuzi. Uimara, ulaji wa...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Gari yangu ni Toyota Raum, ningependa kujua kama zinatumia oxygen sensor, kama ndio zinakuwa sehemu gani?
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Jaman mwenye uelewa kuhusu piki piki boxer engine kuwa na vishindo na kugonga gonga tatizo litakuw nini?
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba kuuliza kazi ya fan ndogo kwenye rejeta ya toyota noah,kazi yake nini na je inawaka pamoja na injini au inawaka baadae, kila ninapowasha gari yenyewe haizunguki, sijui tatizo nini?
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari, Nataka kununua gari aina ya Toyota Avensis 2.0 D-4-D, hii gari inatumia mafuta ya Diesel. Kuna mtu ana uzoefu na hizi gari. Pia kuna mtu ameshawahi kununua hii na anayo. Nilikuwa nauliza...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Habari za jioni watu wa mungu poleni na mihangaiko ya siku nzima, Hivi ni sahihi kwa gari yenye cc 1790 kula mafuta kiasi hcho au ni gari yangu tu,maana juzi nlikuwa na jamaa yangu anadai ni...
5 Reactions
93 Replies
12K Views
Habarini wajameni, Baada ya kuhangaika na bei za Noah show rooms hatimaye nimenyoosha mikono.maana bei imepanda sana.Nimefanikiwa kukutana na gari hii BF na muonekano wake ni kama Noah ila...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
A lucky 25 customers received Tesla’s redesigned Model S “Plaid” at an event hosted by CEO Elon Musk in Fremont, California on Thursday night. The Silicon Valley automaker has billed this new...
3 Reactions
45 Replies
5K Views
Wakuu wajuzi wa JF, Naombeni mnishauri mimi na wadau wengine watajifunzia hapa. Mwaka jani niliagiza Chaser GX 100,C.C 2300 ya kuanzia maisha,kiukweli nilikurupuka sana wadau. Wese...
5 Reactions
180 Replies
54K Views
Habari zenu wanabodi? Ni matumaini yangu kwamba kila mmoja humu ndani yuko salama kabisa. Lengo kubwa la hili bandiko ni kwamba mwezi huu natarajia kununua gari kwa kuagiza gari toka nje ya nchi...
2 Reactions
18 Replies
7K Views
Hii gari nimeipenda sana ilivyo na nafasi ndani, siti zake za nyuma zinaweza kulala kuongeza nafasi ya mizigo. Bei zake ni za kizalendo sana, nadhani kwa class yake ni gari ya bei nafuu kuliko...
2 Reactions
62 Replies
11K Views
Wadau niende moja kwa moja kwenye mada,baada ya taa ya low fuel kuwaka,je noah old model reserve tank yake ni lita ngapi? au inaweza kutembea km ngapi ndo gari izime..
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za wakati huu tena Dada na Kaka zangu, ni jioni nyingine tena ya siku ya Jumapili ya tarehe 20/06/2021 ambayo mimi Binafsi ni mzima Afya natumaini pia hata nyinyi mko salama. Acha niende...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu kama mjuavyo vyuma vimekaza Kiukwel. Nafikiria kujiongeza kwenye biashara ya Taxi je Toyota Premio (pichani) inafaa kwa shughuli tajwa? Ulaji wake wa mafuta, spea n.k. natanguliza shukrani...
0 Reactions
39 Replies
12K Views
Habari za Asubuhi wakuu. Gari yangu Volkswagen polo 1.4L ya mwaka 2006 imekufa “oxygen sensor” naomba kwa wajuvi wanisaidie wapi naweza kuipata na bei ni kiasi gani. imeandikwa hivi NTK JAPAN...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Wakuu leo nimepata majanga na oil sample ikapasuka, naomba kujuzwa gharama za kuibadilisha (gari ni subaru impreza), au kama inawezekana kuchomelea kuziba hilo tundu naomba kujuzwa. Asanten
0 Reactions
2 Replies
962 Views
Jamaa yangu amepata crack (ufa) kwenye kioo cha mbele cha gari (windshield). Anasema inazidi kuongezeka (kurefuka) Je, kuna repair ya cracked windshield kwa uhakika? ama ni hamna namna tena...
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Kuuliza si ujinga, Kuna gari moja ya home ilikuwa na radio yake ya sony kwa bahati mbaya radio ile ni kama tuliuziwa mbuzi kwenye gunia ilipata damage... Point yangu iko hapa kwenye radio hizi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu poleni na mjukumu, Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina kausafiri nilikapata kwa mbinde long time ago Sasa naona mwendokasi wake ni wakusuasua naomba kujua Kama kunauwezekano wa...
2 Reactions
4 Replies
916 Views
Back
Top Bottom