JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu kwema? Nimejichangachanga nimepata 5.5m kuna mhindi nilisoma nae chuo anataka kuniuzia Toyota fielder ambayo ni plate number A, plan yangu nilitaka hasa Ist, Sienta au Rav lakini bajeti...
1 Reactions
49 Replies
8K Views
Habari wadau.. Gari limeisha bima leo na niko bush hakuna ofisi za kampuni za bima.. nataka ninunue online kwa sim banking.. Ila najiuliza sticker naipataje? Maana kesho narudi mjini sitaki...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu. Kwanza nikiri wazi kwamba mimi ni mpenzi mkubwa sana wa magari ya zamani. Yaani nikiyaona barabarani huwa napagwa hasa likiwa bado kwenye hali nzuri kimuonekano na kwa imani yangu...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimesoma baadhi ya review kuhusu magari yenye injini ndogo nikakutana na vitu ambavyo kidogo vimenistua. Hapa nazungumzia gari hasa zenye cc 650cc hadi 1000cc lakini kipaumbele ni hizi za 660cc...
2 Reactions
12 Replies
11K Views
Habari zenu wanajamvi. Nina pikipiki yangu aina ya SANLG huwa naitumia tu katika mizunguko yangu ya hapa na pale ila sasa nina dharula nitakaa nje ya hapa home kama mwezi na wiki mbili hivi...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Rejea kichwa cha habari hapo kuhusu gari ya kampuni ya subaru zinatabia ya kupungua oil kabla ya kufikia KM za services?
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Huu uvunjaji wa sheria tunasubiri kuona Paulo Makonda alichukuliwa hatua.
7 Reactions
110 Replies
26K Views
Habari za leo wanaJF Joto, au kiasi cha joto ni muhimu sana kwa mashine na mifumo kama vile kwa viumbe hai. Kunatumika vifaa na sehemu maalum za kutekeleza kazi hii ya kudhibiti joto la mfumo...
9 Reactions
16 Replies
8K Views
Huu ni mfumo mpya mbadala wa VVTi upo kwenye gari aina ya Allion 2009 na premio 2009. Mwenye gari aina hizo naomba ufafanuzi wa matumizi ya mafuta
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Tunaoendesha vigari vya Kijapani esp. Toyota tunabezwa sana humu ooh gari mbaya, mbovu, haziko stable na blaah blaah nyengine. Ni sawa ila zinatibika kwa wepesi bila kuua account bank. Kabla...
10 Reactions
225 Replies
20K Views
Ndege kumwaga mafuta angani kitaalamu #FuelDump au #Jetsoning ni utaratibu wa dharura unaofanywa na rubani kutoa mafuta nje ya tanki za ndege ikiwa angani. Mara nyingi ndege kubwa na za kati zina...
27 Reactions
80 Replies
14K Views
Tunataka kusafiri na toyota noah,old model cc1990 kutoka dar to kyela mbeya, tuandae kama sh ngapi ya wese na vitu gani vya kuservice kabla ya safari na speed iwe ngapi ili kuserve mafuta...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Nina kagari kangu kanatatizo kwa muda sasa, ninapokua naendesha halafu wakati niko kwenye mwendo kuna wakati engine inakua kama inajipinguza speed (Rpm) na nikiachia accelarator pedal gari inakua...
1 Reactions
44 Replies
12K Views
Nataka kununua toyota Noah, 2wd,1990cc, sasa kuna, Field tourer, Road tourer, Super extra limo, Exurb, kwa wazoefu ipi ni nzuri kwa, kula mafuta, kutulia barabarani, muonekano wa board nje na...
2 Reactions
40 Replies
11K Views
Habari wakuu Nilikuwa na wazo la kununua Toyota IST kwaajili ya mizunguko yangu ya kazi, lakini ghafra mawazo yangu naona yanabadilika na kuhamia kwenye Subaru impreza ...nimetokea kuipenda hii...
1 Reactions
30 Replies
10K Views
Habari wadau, naomba ushauri.. Nina Toyota Harrier model ya 2005 inakita kwa sauti (banging sound) nIkipita kwenye shimo bila kupunguza speed. Yani hata kama si speed sana. Sauti inatokea sana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu kuna hii button IPO kwa upande wa chini pembeni kidogo ya steering, matumizi yake ni yapi tafadhali..
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Katika kufanya diagnosis na kurekebisha matatizo mbali mbali kwenye magari. Asilimia kubwa ya gari nilizokutana nazo ni gari za japan mathalani gari za toyota japo nishakutana pia na gari za ulaya...
7 Reactions
40 Replies
8K Views
Salaam, Naomba nijuzwe nitumie Oil gani kwa both engine and G.Box kwa gari yangu ya Toyota allex? Nikijua na bei nitashukuru zaidi.
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom