JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wadau naomba kuelewa nimekuta gar imemwaga coolant mpaka imeanza kugandamana wakati inakuja toka japan haikuwa hvi,je hili ni jambo la kawaida au niende Garage...natanguliza shukrani
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Rejea kichwa cha habari nataka kusafiri kutokea Dar es Salaam hadi Arusha kwa gari ya Subaru Impreza cc1490 je naweza kutumia lita ngapi za mafuta? Nawasilisha
3 Reactions
61 Replies
13K Views
Habar wakuu, Nimefanikiwa kupata ka bbywalker kangu. Bahati mbaya nimekuta kina yyte size 14 sasa napend sana zile tyre kubw kubw je kwa Toyota Allex nawez weka maximum size ngap ili niwe...
2 Reactions
19 Replies
5K Views
Msaada wakuu nataka kununua pikipiki kwa ajili ya mishe zangu tu mjini hapa naombeni msaada ipi itanifaa kati ya boxer 125 na tvs 125
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Naomba wataalam mje hapa uimara wake uko vipi na mapungufu ya hii gani na vipi road Ina balance hata ukiwa kwa mwendo mkubwa?
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari za asubuhi Wana JF. Ni Imani yangu kua mko wazima wa afya katika kusukuma hili gurudumu la maendeleo. Kwa wale wenye hitilafu za kiafya Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi. Nakuja kwenu kuomba...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Nahitaji kukata bima kubwa [comprehensive] ya gari ya muda mfupi. Muda huo ni miezi mitatu au sita. Inapatikanaje/nafanyaje?
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Nahitaji kukata bima kubwa [comprehensive] ya gari ya muda mfupi. Muda huo ni miezi mitatu au sita. Inapatikanaje/nafanyaje?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Salamu sana ziwafikie wapendwa wana JF Naomba kujuzwa japo kwa undani Kati ya haya magari mawili na sifa zake TOYOTA LAND CRUISER vs NISSAN PATROL aksante.
2 Reactions
98 Replies
23K Views
Kipato cha chini... ila IST nimeweza kuimudu vyema service & maitanance. IST ndo gari yangu ya kwanza kumiliki, ni mwaka mmoja sasa. Napenda speed, and stability matters a lot!! Ni mtu wa long...
4 Reactions
48 Replies
9K Views
Je, ni gari yenye matatizo gani? Ulaji wa mafuta, upatikanaji wa speya, anatembea vzuri kwny barabara zetu? Kwa used bei zake kwa madafu zinarange vipi? Naomba msaada, nimeona mtandao nikaipenda...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Habari zenu humu ndani! Ninampango was kuagiza toyota premio ya 2003 ZZT 240. Ila kuna hii gari SUBARU IMPREZA ya 2008, cc 1490 . naona inanunuliwa sana kwa sasa hapa kwetu tanzania kiukweli nami...
2 Reactions
19 Replies
5K Views
SABABU ZA INJINI KUCHEMSHA na MADHARA YAKE Na Kimomwe Motors (T) Ltd- Waagizaji Magari. 1. Maji ya kawaida haswa yenye chumvi yasiyo na Coolant. Hii inaweza tengeneza kutu ambayo hua kama tope...
4 Reactions
1 Replies
5K Views
Miaka mitano-saba kurudi nyuma Nissan Xtrail ilikuwa ni gari ambayo watz wengi hawakuikubali sana ikilinganishwa na gari kama Toyota rav4, na ijapokuwa Toyota rav4 ni gharama kwa maana ya bei...
4 Reactions
43 Replies
9K Views
Harrier ya mwaka juzi. Bongo ipo? Nisije leta afu tuwe wengi wengi [emoji38][emoji38] Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
59 Replies
11K Views
Matamanio yangu nikumiliki gari aina tofauti na toyota kwasasa japo kipato changu ni chakati yaani chakawaida. Navutiwa sana nagari hizi, Mitsubishi Outlander, Volkswagen tourage na Honda...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Habarini za muda huu, Naomba mnijuze utaratibu wa kupata leseni ya udereva kama tayari una cheti
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari!naomba kujua Uzuri wa Suzuki swift sport yenye engine ya M16 with manul Gearbox pia Mazaifu yake. Ahsanteni nawasilisha. Suzuki Swift sport Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Anaejua bei (used) ya back bumper Taa za nyuma na Boot nzima ya subaru forester sg5 (2003) naomba anijuze.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom