JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habar Wana jf , kuna uwezekano wa kubadilisha gari ya diesel kuwa ya petroli?
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Hv jamani nilikiwa nauliza hiv american muscle ina bei gani.in tanzania shilings.na je hunu tanzania ipo
4 Reactions
41 Replies
6K Views
Naomba kujua bei ya oil ya gear box ya Toyota sienta, Pia nikiwasha gari nyakati za asubuhi au injin inapokuwa imepoa huwa inatoa muungurumo wa juu kana kwamba nimekanyaga mafuta... Kisha baada...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Nimebuni pampu ya kuvuta na kisukuma maji kwa ajili ya mifugo kiilimo nk isiyotumia mafuta Wala nguvu ya umeme nimeifanyia majaribio na umeonesha mafanikio makubwa inatumia mawimbi ya ziwani na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu wasalam Bila kupoteza mda majuz nilikua kwenye kijiwe kimoja kukaibuka mjadala mzito sn juu ya gari za mjapan na mjeruman hasa kwenye suala la matumiz ya mafuta Wapo waliodai mjeruman...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nininahitaji hii gari kwani nimeambiwa kuwa ni economy na spea zake hupatikana kirahisi sana, kwa kifupi management sio mbaya wanavyodai. Nisaidieni jamani wanajf nisije juta baade Nahitaji...
0 Reactions
61 Replies
29K Views
Hello wadau. Kwa yeyote mwenye Toyota IST yenye '4WD'... ama aliyewahi kutumia IST yenye '4WD'... Fuel consumption ipoje? Tupeni uzoefu. -Kaveli-
1 Reactions
57 Replies
13K Views
Wadau nina swali, wengi mmeshasikia kwamba usikimbilie kuzima gari ikiwa gari imetoka kufanya safari ya umbali mrefu. Katika pitapita zangu mitandaoni, nimeona hili angalizo likiwekwa kwa gari...
6 Reactions
98 Replies
16K Views
Wakuu habarini za kazi. Kuna hiki kidude huwa nakuona kwenye gari huwa sijui kazi yake, mwenye kufaham anijulishe.
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Niaje watalaam wenye jamvi lenu? Kama mnavyokumbuka, nilipata ajali na ka baby walker kangu wiki kadhaa zilizopita, basi nimepata mtu nikamsukumia kama kalivyo kwa bei ya hasara, sasa nimeongezea...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari wakuu naombeni kuuliza je kwa mfano nikawa nimeagiza gari yangu toka nje na imefika bandali ya Dar. Vipi kuhusu ghalama na process zakulitoa gari zinakuaje?
3 Reactions
63 Replies
9K Views
Salaam wakuu, Nimeona changamoto kwenye gari manual ya petrol ambapo ikiwashwa inatoa moshi mweupe kwa bomba la moshi na pia wakati huo huo mafuta yanalika sana, inaweza kuwa ni shida ya kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wadau Nina Generator yangu Kampuni ya Boss baada ya kuifanyia Marekebisho imewaka tatizo linakuja nnapo iwasha ina Jiongeza na kujipunguza Less yenyewe hivyo haitulii katika Hali moja...
1 Reactions
4 Replies
782 Views
Wakuu wangu wa JF heshima mbele, nina Jambo nilikuwa naomba kuuliza kwa ushauri wa kitaalamu nikiamini jukwaa hili ni la manufaa na limesaidia watanzanzia wengi. Baada ya salamu naomba kuelezea...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji kununua matairi ya gari ni yapi yaliyo Bora Kwa uimara. Mimi ninafikiria Bridgestone but kuna mengine yenye caliber ya Bridgestone na bei ipo chini kigodo! Mwawazo yenu ktk hili
1 Reactions
40 Replies
9K Views
Baadhi ya madiwani wa Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam wamedai Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Lusubilo Mwakabibi ametumia ubabe kuilazimisha kamati ya zabuni kununua gari la mkurugenzi, Toyota Land...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Msaada kwa anayejua wanapouza hapa Tanzania spare za tractor za Belarus. Nipo Dodoma, changamoto ya spare za tractor yangu zimekuwa kubwa sana.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari Wakuu! Naomba msaada wa kiufundi kwa IST kutorejesha coolant kwenye rejeta kutoka kwenye reserve tank ambayo imekuwa ikimwagika baada ya kujaa. Nimejaribu kubadilisha kifuniko cha rejeta...
1 Reactions
41 Replies
12K Views
Habar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini...
4 Reactions
53 Replies
7K Views
Kuendesha gari la manual sio ngumu sana kama baadhi ya watu wanavyodhani, linapokuja suala la kuendesha gari la manual ni mchanganyiko wa usanii na sayansi ya mikono na miguu kwa pamoja. Save hio...
5 Reactions
7 Replies
12K Views
Back
Top Bottom